EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
Ngoja tuone ila atakaweteuliwa ni likely kuja kuwa Rais 2025Majaliwa ndo atakuwa Makamu wa rais
Ngoja tuone ila atakaweteuliwa ni likely kuja kuwa Rais 2025Majaliwa ndo atakuwa Makamu wa rais
Shein na Bilal walikuwa wa mhe Kikwete je ni dini tofauti hizo? Taratibu basi mkuuHatuwezi kuwa na rais na makamu wake wote dini moja!!!
Makamu ni ndugu Willium Lukuvi na Pm atabaki Majaliwa KM. Maona ya waziri mkuu mpya hapo kidooogo ndoto ilivamia na upande wapili....Ova
Hapo atampaisha abaki hapo au amng'oe kabisaampe u VP tuu akimuacha hapo atamsumbua
HamShein na Bilal walikuwa wa mhe Kikwete je ni dini tofauti hizo? Taratibu basi mkuu
Hamuelewi nivichwa vigumu au?? Nmesema raid akitoka zenji muislamu bars inabd Stoke mkristo ili kubalansiShein na Bilal walikuwa wa mhe Kikwete je ni dini tofauti hizo? Taratibu basi mkuu
Sasa kwa Sasa si anamalizia muhula wa mtangulizi wake...je Magu angefariki labda amebakiza mwaka mmoja je?? Ulisema muhula mmoja kwa katiba ya Tanzania ni miaka mitano..Sasa mama atatawala miaka mitatu na miezi Kama Saba ili kukamilisha muhula wa Magu. Itakuwa haijatimia mitano...hapa imekaaje mkuu.Sio kumi ni tisa tu hawezi gombea tena kwa mijibu wa katiba rais anatakiwa akae mihula miwili tu na sio zaidi
Mara nyingi nabii hakubaliki kwaoKwaiyo tangu mwaka huo mpaka leo watu hawakucomment chochote
Kweli kabisa anaonekana mtu wa jazba tuBashiru anapewa ubalozi huko atuachie nafasi wazi
Bora iwe hivyo ili asije msumbua Rais kama akimuacha kuwa mkuu wa serikali maana VP sio dili unless yatokee kama yaliyotokea
Utakuwa mnaa weweHam
Hamuelewi nivichwa vigumu au?? Nmesema raid akitoka zenji muislamu bars inabd Stoke mkristo ili kubalansi
mzee wewe ni mlokole?Nimeona maono mama Samia Suluhu akimwapisha Waziri Mkuu mpya.
Nimejiuliza sana maana yake ni nini. Na sijawahi kuona maono hivi yasitokee. Au 2020 ni zamu ya Rais mwanamke?
Sio jazba uchu wa madaraka piaKweli kabisa anaonekana mtu wa jazba tu
Asije akamloga na Samia kama alivyofanya kwa MagufuliKatika hiyo safu yake Makonda atakuwa waziri mkuu
Hapo ngoja wajuzi waje au kama vipi tukafunue katiba tujioneeeSasa kwa Sasa si anamalizia muhula wa mtangulizi wake...je Magu angefariki labda amebakiza mwaka mmoja je?? Ulisema muhula mmoja kwa katiba ya Tanzania ni miaka mitano..Sasa mama atatawala miaka mitatu na miezi Kama Saba ili kukamilisha muhula wa Magu. Itakuwa haijatimia mitano...hapa imekaaje mkuu.
Kweli kabisaHuyu ataoke kabisa hawezi kumshauri Rais wakati nae ni mgeni wa mambo,wapo ma Permanent secretaries wazoefu wengi tuu
Akafundishe hukoSio jazba uchu wa madaraka pia
Ni hivi wanasema ukijibiwa kama hivi unaomba tena kama inawezekana MUNGU anaweza badili mawazo yake au akaongeza muda kidogoFikiria kama ningejibiwa hivi wakati huo. Lakini uzi haukuwa na response hata moja.
Asante kwa ushauri.
Hatimae imekuaNiliandika hivi mwaka 2017. Sikujua maana halisi ya maono niliyoona.
SASA NIMEELEWA.