Tanzania kuwa na Rais mwanamke?

Tanzania kuwa na Rais mwanamke?

Ameudanganya umma wa watanzia na ulimwengu kwamba Rais ni mzima il hali mtu yuko kwenye mtungi wa oksijen

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Kumbuka ni Rais wa nchi sio mjumbe wa shina, huwezi tangaza bila kujiandaa! Je unatangaza halafu wewe unaambiwa huko huko uliko tusikuona hapa inakuwaje! Maandalizi muhimu sana hata kama ungekuwa wewe, ila ni mawazo yangu!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Hivi akishamaliza na akaamua kugombea tena na kushinda atatawala kwa mihula miwili Tena au. Hapa Nina maana kwa mfano Mama Samia akimalizia hii miaka minne alafu chama chake kikampendekeza Tena kugombea na akashinda atatawala miaka 10 au??? Hiyo ukijumkisha na hii minne Ina maana atatawala miaka 14 siyo???Kama ndivyo basi Huyu mama ana Zari la kufa mtu.
Kama angechukua nchi ikiwa imebaki miaka mitatu ya uchaguzi, angeenda miaka kumi na mitatu, yaani hio mitatu aliyomalizia na mihula miwili. Kwakuwa atamalizia miaka minne ya magu, hivyo kama atagimbea, ataongoza muhula mmjoa tu.

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Nimeona maono mama Samia Suluhu akimwapisha Waziri Mkuu mpya.

Nimejiuliza sana maana yake ni nini. Na sijawahi kuona maono hivi yasitokee. Au 2020 ni zamu ya Rais mwanamke?
Samia aliandaliwa, alipitishwa kwenye moto na akakiri amenyooka na kumwambia Magufuli apumzike sasa, ili yeye na wenzie walionyooka wawanyooshe wajao

Mungu huujua mwisho wetu kabla ya mwanzo wetu! Stay strong mama Samia Hassan

Rest well kipenzi chetu John Pombe Magufuli

 
M sijui hivi huyu samia atamalizia miaka iliyobaki.?
IMG-20210318-WA0000.jpg
 
Niliandika hivi mwaka 2017. Sikujua maana halisi ya maono niliyoona.

SASA NIMEELEWA.
Kwa maana nyingine, endapo maono yataendelea basi Mama Samia atavunja Baraza la Mawaziri!! Na ukweli ni kwamba, hiyo ndio itakuwa salama kwake!!
 
Nimeona maono mama Samia Suluhu akimwapisha Waziri Mkuu mpya.

Nimejiuliza sana maana yake ni nini. Na sijawahi kuona maono hivi yasitokee. Au 2020 ni zamu ya Rais mwanamke?
Aisee wewe unapaswa kuangalia sana yawezekana unawasiliana na Mungu ili utupatie message Ila inachukulia poa. Kudos
 
Nimeona maono mama Samia Suluhu akimwapisha Waziri Mkuu mpya.

Nimejiuliza sana maana yake ni nini. Na sijawahi kuona maono hivi yasitokee. Au 2020 ni zamu ya Rais mwanamke?
Bro niangalizie na mimi unanioba wpi miaka 10 ijayo
 
Ikibakia zaidi ya miaka mitatu unakuwa muhula wake wa kwanza kutawala. Akigombea na kupita 2025 utakuwa muhula wake wa pili na wa mwisho hadi 2030.

Kwahiyo hayati John Magufuli alikuwa rais wa awamu ya 5 aliyetawala muhula mmoja tu. Kwa sasa rais Samia Suluhu Hassan ni rais wa awamu nyingine mpya ya 6
Hivi akishamaliza na akaamua kugombea tena na kushinda atatawala kwa mihula miwili Tena au. Hapa Nina maana kwa mfano Mama Samia akimalizia hii miaka minne alafu chama chake kikampendekeza Tena kugombea na akashinda atatawala miaka 10 au??? Hiyo ukijumkisha na hii minne Ina maana atatawala miaka 14 siyo???Kama ndivyo basi Huyu mama ana Zari la kufa mtu.
 
Iliyobaki ni miaka minne na miezi kadhaa. Ikiwa imebakia zaidi ya miaka mitatu, huu unakuwa muhula wake wa kwanza. Akigombea na kupita 2025 utakuwa muhula wake wa pili na wa mwisho hadi 2030. Na tukumbuke kuwa Samia sasa ni rais wa awamu ya 6
Sasa kwa Sasa si anamalizia muhula wa mtangulizi wake...je Magu angefariki labda amebakiza mwaka mmoja je?? Ulisema muhula mmoja kwa katiba ya Tanzania ni miaka mitano..Sasa mama atatawala miaka mitatu na miezi Kama Saba ili kukamilisha muhula wa Magu. Itakuwa haijatimia mitano...hapa imekaaje mkuu.
 
Hii minne na miezi kadhaa iliyobaki inakuwa muhula wake wa kwanza. Akigombea 2025 utakuwa muhula wake wa pili na wa mwisho hadi 2030
Kama angechukua nchi ikiwa imebaki miaka mitatu ya uchaguzi, angeenda miaka kumi na mitatu, yaani hio mitatu aliyomalizia na mihula miwili. Kwakuwa atamalizia miaka minne ya magu, hivyo kama atagimbea, ataongoza muhula mmjoa tu.

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom