Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 25,448
- 46,216
Mavi yake,yeye na Jiwe hawana tofauti.majaliwa anaenda kuwa vice president
Mavi yake,yeye na Jiwe hawana tofauti.majaliwa anaenda kuwa vice president
Naikumbuka hiiDuuh! Mungu alikuonyesha!! tengeneza uhusiano wako, utaona vingi vya
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1312][emoji1312]Akipigwa chini tuu,ujue na Namungo nayo yatawakuta kama yale ya Singida United
Si rahisi.majaliwa anaenda kuwa vice president
Mnafiki Sana huyu mzee Hana jipyamajaliwa anaenda kuwa vice president
Nimeona maono mama Samia Suluhu akimwapisha Waziri Mkuu mpya.
Nimejiuliza sana maana yake ni nini. Na sijawahi kuona maono hivi yasitokee. Au 2020 ni zamu ya Rais mwanamke?
YametimiaNiliandika hivi mwaka 2017. Sikujua maana halisi ya maono niliyoona.
SASA NIMEELEWA.
Katika hiyo safu yake Makonda atakuwa waziri mkuuPM apigwe chini Suluhu apange safu yake
Amesema waziri mkuu mpya..Unamsababishia Waziri Mkuu shida moyoni maana hajui kama atateuliwa yeye au mwingine
Hatuwezi kuwa na rais na makamu wake wote dini moja!!!majaliwa anaenda kuwa vice president
🤣🤣🤣mkuu uliona nani mwingne kweny iyo ndoto tujue mapema 😁
Pengine unachosema kikawa kweli au kisiwe. Tusubiri.Hatuwezi kuwa na rais na makamu wake wote dini moja!!!
Makamu ni ndugu Willium Lukuvi na Pm atabaki Majaliwa KM. Maona ya waziri mkuu mpya hapo kidooogo ndoto ilivamia na upande wapili....Ova