Tanzania kuwa na Rais mwanamke?

Tanzania kuwa na Rais mwanamke?

Nimeona maono mama Samia Suluhu akimwapisha Waziri Mkuu mpya.

Nimejiuliza sana maana yake ni nini. Na sijawahi kuona maono hivi yasitokee. Au 2020 ni zamu ya Rais mwanamke?
Acha utapeli wa kujitia muota ndoto. Umepatia kwa vile tunaye waziri mkuu mwanamke aitwaye Lamecka Mwiguluu
 
Back
Top Bottom