Tanzania kuwa na Rais mwanamke?

Tanzania kuwa na Rais mwanamke?

Watu wengi walitabiri au kuoneshwa maono na Mama mwenyewe alitabiriwa na watu kibao tuu toka bunge la katiba.Hata mimi mwaka uliopita niliandika kwenye jukwaa la EAC kwamba nimeona Rais hata maliza miaka mitano japo sikusisitiza iala niliwaambia watu wachache kwa kuwa niliogopa.

Kiufupi niliwahi kuota vitu vingi tuu sio hilo tuu but nimegundua watu wengi walitabiri na imetokea kweli,R.I.P mr.President
 
Samia akiishaapishwa hatapangiwa, anaweza kuteua PM mwingine. Kumbuka atakuwa na mamlaka ya kuteua Makamu wa Rais, na hata PM (akiona hataendana na Majaliwa). na atakuwa na mamlaka ya kuwa na Baraza la Mawaziri ambalo mwenyewe ataona litaendana na kasi yake. Usishangae Bashite anaula chini ya Mama Samia!
Akimrudisha Bashbway tunaanza kumsimanga mpaka aende kujifungia Nungwi
 
Mkuu nimekukubali na ningependa sana kujua mtindo wako wa maisha ulivyo

Mimi nina amini ukiwa na ‘usafi’ fulani tena ukiwa mtu wa kawaida tu unaona mengi ambayo macho ya mwili hayaoni ukiachilia mbali kwa hao wanao jiita waganga/wapiga ramli/ manabii

Je ni suala la kuzaliwa unashusha hizo energy/intuition na kuona uhalisia au ni mtindo wa maisha yako tu.Maana umesema huwa unatokewa na maono

Umetisha Ninja
 
Sasa hivi akishaapishwa Mama yetu Raisi mtarajiwa Samia Suluhu Hassan aanze Dialogue na Upinzani makini (Chadema) ili road map iandaliwe kuhusu mchakato wa Katiba mpya na Tume HURU ya Uchaguzi
Hili la katiba maccm kamwe hayawezi kukubali na yatakuwa tayari kufanya lolote kiufupi sitegemei mabadiliko makubwa atleast by 2023
 
Sikujua haya maono niliyooneshwa yalimaanisha nini. Leo nimeelewa.
Siku nyingine piga goti ili MUNGU akupe na maana yake, unabii sio mpaka uwe na walinzi wavaa mawani meusi anaweza tumiwa mtu amtakaye.
 
Back
Top Bottom