Mkuu, juzijuzi shinda jana kuna Kenyan Supplier alipewa tender kusupply Tanzania medical equipment and supplies.kwa sasa zinazalishwa nchini
Nafikiri mkuu ulitakiwa kusema,Hahaha
Maigizo yanaendelea....
Medical equipments and supplies ni broad termMkuu, juzijuzi shinda jana kuna Kenyan Supplier alipewa tender kusupply Tanzania medical equipment and supplies.
Ndiyo kile cha Humphrey SlowslowAkizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dodoma Katibu Mkuu, Wizara ya Afya- Idara Kuu ya Afya Prof. Abel Makubi amesema kiwanda hicho hakitatengeneza chanjo ya UVIKO tu bali na magonjwa mengine.
Hawa ndio vilaza wenzake na jumong,yani kazi yao uwongouwongo kma meko tu...huyo mama ni foooSerikali imeanza mchakato wa kutengeneza chanjo ya Virusi vya Corona hapa nchini ili kupunguza gharama ya kuagiza nje ya nchi na kuzifanya ziwe karibu na wananchi...
Juzi Rwanda wamepewa na EU $3.6mil ili wa upgrade laboratory zao kwa ajili ya kutengeneza hizo chanjo,labda nasi pia Kuna mpango huo.Waanze na chanjo ya polio kwanza ndo waupgrade na ya corona
Sijui wana agenda gani na Corona YaoJuzi Rwanda wamepewa na EU $3.6mil ili wa upgrade laboratory zao kwa ajili ya kutengeneza hizo chanjo,labda nasi pia Kuna mpango huo.
Swali zuriNje ya mada, swali,
Hivi wale wawekezaji Waarabu, WaKuwaiti sijui Saudi, walioleta hadi $$ B.o.T, wameshapata vibali vya kufungua kiwanda chao?? Fedha zao je, wamerudishiwa??
Everyday is Saturday...............................
Kama hujui kaa kimya.drip zinatengenezwa kibao tu hapa tz.bugando,kcmc,muhimbili.panadol ndio usiseme.dawa za tz ni bora zaidi kuliko za Kenya kama hujui.tembeeni muone sio kupiga kelele kila siku.Drip tu zinatoka Kenya na Uganda na India, e.t.c Panadol halikadhalika za Kenya bei tofauti na za Tanzania...
Unampinga hadi mwendazake 😂 😆Kama hujui kaa kimya.drip zinatengenezwa kibao tu hapa tz.bugando,kcmc,muhimbili.panadol ndio usiseme.dawa za tz ni bora zaidi kuliko za Kenya kama hujui.tembeeni muone sio kupiga kelele kila siku.
Wanataka kuleta mambo aliyoyafanya Ramadhani Madabida kwenye ARV'sHawa hata sindano tu wanaagiza nje ya nchi, ndio wataweza kutengeneza chanjo yao wenyewe, labda waruhusu miongoni kwa kampuni ambazo chanjo yao imeshaidhinishwa waweke plant yao nchini kwa ajili ya supply ya Africa.