CARIFONIA
JF-Expert Member
- Aug 17, 2013
- 518
- 901
Kwa juhudi zilizochukuliwa na serikali ya TZ katika uboreshaji wa miundombinu ya masoko na vituo vya mabasi ya abiria na thubutu kusema kwa sasa TZ ndio inaongoza kwa kua na miundombinu bora katika nyanja za masoko na vituo vya mabasi ya abiria kwa nchi za East Africa. Ukizingatia project hizi zinawagusa zaidi wananchi wa kawaida.
Bahadhi ya project zimekwishama lizika na nyingine bado zipo kwenye ujenzi.
Bahadhi ya project zimekwishama lizika na nyingine bado zipo kwenye ujenzi.