Tanzania inaweza kuwa ndiyo nchi inayoongoza kwa kuboresha miundobinu ya masoko na vituo vya mabasi ya abiria kwa nchi za East Africa

CARIFONIA

JF-Expert Member
Aug 17, 2013
518
901
Kwa juhudi zilizochukuliwa na serikali ya TZ katika uboreshaji wa miundombinu ya masoko na vituo vya mabasi ya abiria na thubutu kusema kwa sasa TZ ndio inaongoza kwa kua na miundombinu bora katika nyanja za masoko na vituo vya mabasi ya abiria kwa nchi za East Africa. Ukizingatia project hizi zinawagusa zaidi wananchi wa kawaida.

Bahadhi ya project zimekwishama lizika na nyingine bado zipo kwenye ujenzi.

PSX_20200627_160901.jpg
PSX_20200627_160713.jpg
PSX_20200627_160444.jpg
PSX_20200627_160242.jpg
PSX_20200627_155912.jpg
PSX_20200627_160043.jpg
104055511_599018347718463_3228549339227355163_n.jpg
images (91).jpeg
PSX_20200627_161242.jpg
PSX_20200627_161458.jpg
PSX_20200627_161617.jpg
images (58).jpeg
images (97).jpeg
Screenshot_20200627-155531.jpg
PSX_20200628_010638.jpg
 
Ongezea pia na miradi mbalimbali ya maji iliyomalizika na inayo endelea kujengwa,

Pia umeme wa REA.
 
Na
Mnependa umalaya sana. Kwani soko ni kitu geni kwenu?
Naona corona unayoumwa imeingia mpaka kwenye ubongo, ndio mahana sishangai pumba uliyoandika hapo

Lakini mwisho wa siku ni wivu pia unaokusumbua
 
Tanzania kama nchi chini ya JPM inasonga kwa kasi ya mwanga.
Tatizo kubwa ni michwa kwenye hiyo miradi. Kuna watu unakuta wanajipanga kuhujumu. Nenda uone miundombinu ya hiyo miradi, yaani hakuna ukarabati, nakuhakikishia hiki kizazi ni Dkt Magufuli na wachache ndiyo wenye vision, wengine wanawaza kuiba tu. Hawakarabati kabisa miundo mbinu
 
Back
Top Bottom