Msengi Kiula
Senior Member
- Jan 10, 2008
- 167
- 63
Institutional Corruption ndiyo inayoimaliza nchi hii!
Usiseme hivyo FL1,tafadhali futa kauli yako ya kusema iendeshwe kijeshi ili tuipate habari yake,hivi unafikiri nchi zinazoendeshwa kwa style hiyo watu wako wako kwenye hali gani? Unafikiri utapata hata muda wa kutoa maoni kama sasa unavyotoa? hebu fikri tu utakua na muda wa kufanya kazi maana wakati mwingine itatolewa amri ya kutotembea ovyo eitha nyakati fulani je utakuwa katika hali gani?try to think twice.
Tunahitaji Rais mwenye maono ya kuthubutu kama Obama, mbishi na mbwatukaji kama Ahmedinajad, asiyetishiwa na wawekezaji kama Hugo Chavez, mwenye kuzungukwa na watu wenye uwezo kama Lula na mwenye mvuto kwa watu wa kawaida kama Zuma. Tunahitaji Rais ambaye amefyatuka kidogo (au sana kutegemea na kipimo) ambaye hatopiga magoti kwa kila mtu anayejiita "mwekezaji" na ambaye hatozungukwa na wenye kuimba sifa zake.
Tunahitaji Rais ambaye amefyatuka kama Mrema!!!!!!
Tunahitaji Rais mwenye maono ya kuthubutu kama Obama, mbishi na mbwatukaji kama Ahmedinajad, asiyetishiwa na wawekezaji kama Hugo Chavez, mwenye kuzungukwa na watu wenye uwezo kama Lula na mwenye mvuto kwa watu wa kawaida kama Zuma. Tunahitaji Rais ambaye amefyatuka kidogo (au sana kutegemea na kipimo) ambaye hatopiga magoti kwa kila mtu anayejiita "mwekezaji" na ambaye hatozungukwa na wenye kuimba sifa zake.
Tunahitaji Rais ambaye amefyatuka kama Mrema!!!!!!
Tunahitaji Rais mwenye maono ya kuthubutu kama Obama, mbishi na mbwatukaji kama Ahmedinajad, asiyetishiwa na wawekezaji kama Hugo Chavez, mwenye kuzungukwa na watu wenye uwezo kama Lula na mwenye mvuto kwa watu wa kawaida kama Zuma. Tunahitaji Rais ambaye amefyatuka kidogo (au sana kutegemea na kipimo) ambaye hatopiga magoti kwa kila mtu anayejiita "mwekezaji" na ambaye hatozungukwa na wenye kuimba sifa zake.
Tunahitaji Rais ambaye amefyatuka kama Mrema!!!!!!
Mwanakijiji,Tunahitaji Rais mwenye maono ya kuthubutu kama Obama, mbishi na mbwatukaji kama Ahmedinajad, asiyetishiwa na wawekezaji kama Hugo Chavez, mwenye kuzungukwa na watu wenye uwezo kama Lula na mwenye mvuto kwa watu wa kawaida kama Zuma. Tunahitaji Rais ambaye amefyatuka kidogo (au sana kutegemea na kipimo) ambaye hatopiga magoti kwa kila mtu anayejiita "mwekezaji" na ambaye hatozungukwa na wenye kuimba sifa zake.
Tunahitaji Rais ambaye amefyatuka kama Mrema!!!!!!
Mwanakijiji,
Rais fyatu akuongoze wewe na ukoo wako siyo sisi wa Tanzania...tunahitaji kichwa kilichotulia makini strong etc fyatu mchague awe babako..tuondolee balaa ala!
Mwanakijiji,
Rais fyatu akuongoze wewe na ukoo wako siyo sisi wa Tanzania...tunahitaji kichwa kilichotulia makini strong etc fyatu mchague awe babako..tuondolee balaa ala!
Hatumhitaji Ahmedinajad. Hatumhitaji Chavez. Na zaidi ya yote, hatuhitaji Rais kama Mrema.
Tunahitaji Rais mwenye vision, commitment, integrity kama Lee wa Singapore. Tunahitaji Rais kama Castro atakaewekeza katika kuboresha hali ya maisha ya watu wake kwa kutumia alichonacho.
Hatuhitaji Rais atakayetupa vijisifa visivyo na maana bali tunahitaji rais atakayeweza kutumia mazingira yaliyokuweko kutuongoza kuelekea kwenye hali bora zaidi ya kudumu.
Hapana, hatuhitaji Rais fyatu maana tumeishapoteza muda kiasi cha kutosha.
Amandla.........
Mchague Nyani Ngabu, kama umri wake utakuwa bado, basi najifagilia.
Mchague Nyani Ngabu, kama umri wake utakuwa bado, basi najifagilia.
...huyo hata kwa viboko hatoki states...kafika!
Kweli watu waliona mbaliUtampenyezea wapi Magufuli hadi aupate hata huo UGOMBEA tu? Angalia JK alivyohangaika hata kumpa wizara afanye kazi! Tatizo kubwa tulilonalo ni MFUMO wetu wa jinsi tunavyowapata VIONGOZI wetu. Nani ATAUFUMUA?
Tunaomba maoni yako kwa sasa mkuuTunahitaji Rais mwenye maono ya kuthubutu kama Obama, mbishi na mbwatukaji kama Ahmedinajad, asiyetishiwa na wawekezaji kama Hugo Chavez, mwenye kuzungukwa na watu wenye uwezo kama Lula na mwenye mvuto kwa watu wa kawaida kama Zuma. Tunahitaji Rais ambaye amefyatuka kidogo (au sana kutegemea na kipimo) ambaye hatopiga magoti kwa kila mtu anayejiita "mwekezaji" na ambaye hatozungukwa na wenye kuimba sifa zake.
Tunahitaji Rais ambaye amefyatuka kama Mrema!!!!!!
Wakuu tuache kufikiria tawala za kijeshi.Mimi nadhani tupate raia mmoja tu mzalendo mwenye vision na uchungu wa kweli na maendeleo ya nchi hii.Hawa watu wapo isipokuwa bado hawajapewa nafasi au wanabaniwa au wanavurugwa na system isiyoitakia mema nchi.
Embu tuchukulie mfano tumpe urais Pombe Magufuli leo hii,hivi hatutaweza kusonga kweli?