Tusisahau kwamba ufisadi umeingia hadi JESHINI pia. Akina Mboma, Waitara,...ni matajiri kwelikweli. Labda tuwatafute akina Thomas Sankara mle.....jeshi lishike nchi kwa miaka 5! Ule wa kwanza tu nchi imeshanyooka!
Tusisahau kwamba ufisadi umeingia hadi JESHINI pia. Akina Mboma, Waitara,...ni matajiri kwelikweli. Labda tuwatafute akina Thomas Sankara mle.....jeshi lishike nchi kwa miaka 5! Ule wa kwanza tu nchi imeshanyooka!
hapa kijeshi jeshi tu, nashangaa hadi sasa hili jeshi letu bado halijachukua hatua wakati nchi inateketea na mafisadi
Tunahitaji Rais ambaye amefyatuka kidogo (au sana kutegemea na kipimo) ambaye hatopiga magoti kwa kila mtu anayejiita "mwekezaji" na ambaye hatozungukwa na wenye kuimba sifa zake.
Tunahitaji Rais ambaye amefyatuka kama Mrema!!!!!!
mkjj,
naomba ninukuu maneno ya thomas sinkara (burkina faso 1983):
"you can not carry out fundamental change without a certain amount of madness...it comes from nonconfirmity, the courage to to turn your back to the old formulas, the courage to invent the future..."
nadhani iendeshwe kijeshi kwanza ili tuiipate habari yake
hapa kijeshi jeshi tu, nashangaa hadi sasa hili jeshi letu bado halijachukua hatua wakati nchi inateketea na mafisadi
Wote hawa "watoro" jeshini siku nyingi! Lowasa hajawahi kuwa mwanajeshi. Ongeza Mzee Pinda kama watu wa UwT nao ni wajeshi.Mkuu nchi ipo chini ya wanjeshi so far...
Rais na mw/kiti wa chama tawala Luteni Kanali KIkwete
waziri habari... Kaptain Mkuchika
waziri ardhi.... Kaptain Chiligati
Katibu mkuu chama... Luteni Makamba
Mburudishaji Taifa... Kaptain Komba
Fisadi mkubwa Taifa ... Luteni Lowasa
hapo bado hujaanza wakuu wa mikoa na wilaya ndio utachoka kabisa kina Kanali Machibya, Simbakalia, Balele kibao
Hata Obama alipokuwa Ghana hivi karibuni alisema kinachohitajika kwenye UONGOZI wa NCHI zetu hizi ni TAASISI zenye nguvu KIKATIBA na KISHERIA sio mtu/watu wenye nguvu. Tuimarishe Taasisi hizi kama BUNGE, MAHAKAMA, URAIS( sio RAIS), NGOs, vyama vya siasa,.....
nadhani iendeshwe kijeshi kwanza ili tuiipate habari yake
Sikonge,
Tukiimarisha Bunge angalau kwa kuanzia tu tunaweza kuleta mabadiliko. Angalia Bunge la Kenya lilivyo na nguvu sasa. Hata TEUZI za Kibaki zinagonga mwamba. Shida kubwa ya Wanajeshi wakisha jikita kwenye vyeo hivi vya kisiasa hawatatoka.
hapa kijeshi jeshi tu, nashangaa hadi sasa hili jeshi letu bado halijachukua hatua wakati nchi inateketea na mafisadi
Hata zikiwepo, bado watakuja na kuziscrew up. Wameiba BoT. Wameiba hadi JWATZ. Usalama wa Taifa uko hoi, hasa kitengo cha UCHUMI. Nchi inafisidiwa wao wamelala. Sanasana wako busy kuangalia nani anataka kuiondoa CCM. Azimio la Arusha walilivunjilia mbali....itakuwa hizo Taasisi?
Usiseme hivyo FL1,tafadhali futa kauli yako ya kusema iendeshwe kijeshi ili tuipate habari yake,hivi unafikiri nchi zinazoendeshwa kwa style hiyo watu wako wako kwenye hali gani? Unafikiri utapata hata muda wa kutoa maoni kama sasa unavyotoa? hebu fikri tu utakua na muda wa kufanya kazi maana wakati mwingine itatolewa amri ya kutotembea ovyo eitha nyakati fulani je utakuwa katika hali gani?try to think twice.