DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,398
- 2,593
Serikali inayoongoza taifa hili la TANZANIA na WATANZANIA wote inabidi tujifunze mambo mbalimbali ya faida kutoka China :- i, Ni kwa namna gani serikali inaweza kuiongoza nchi kiufasaha.
ii, Ni kwa namna wananchi wanapaswa kushirikishwa katika kuleta maendeleo ya taifa lao.
iii, Ni kwa namna gani serikali inaweza kuweka mipango ya muda mfupi na mrefu na kuweza kutekelezeka.
iv, Ni siri gani ya wachina kufanya kazi kwa bidii kwa manufaa ya taifa lao.
V, Njia iliyo bora ya kulifungua taifa kwa ajili ya kukuza uchumi.
Vi, Namna ya kuweza kufanya rapid development/economic revolution kwa miaka isiyo zidi 30.
Nb: Na mengine mengi ya faida kutoka China serikali yetu inapaswa kujifunza ili kuleta maendeleo ya taifa letu na kukomesha umasikini uliokithiri.
ii, Ni kwa namna wananchi wanapaswa kushirikishwa katika kuleta maendeleo ya taifa lao.
iii, Ni kwa namna gani serikali inaweza kuweka mipango ya muda mfupi na mrefu na kuweza kutekelezeka.
iv, Ni siri gani ya wachina kufanya kazi kwa bidii kwa manufaa ya taifa lao.
V, Njia iliyo bora ya kulifungua taifa kwa ajili ya kukuza uchumi.
Vi, Namna ya kuweza kufanya rapid development/economic revolution kwa miaka isiyo zidi 30.
Nb: Na mengine mengi ya faida kutoka China serikali yetu inapaswa kujifunza ili kuleta maendeleo ya taifa letu na kukomesha umasikini uliokithiri.