Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,336
- 4,161
its better for new faces kuliko hao walio experienced. new faces ni easy to teach.. to control.
so i say bora hao.. but wawahi.before it is too late
Chief, kazi za TISS sio sawa na kazi nyingine kwamba you can easily change people uweke wengine bila kuface consequences zake!
Tuanze upya yes! Ila turudi nyuma zaidi! Utumike utaratibu ambao ni world wide standard ya recruiting katika Kada hii!
Waliopo kwa sasa sio kwamba wote hawafai, I believe it’s just a glitch in the system and it can be corrected though not easily!
The current president has been in the corridors of power for some good years now! I’m very sure that she knows milango gani ya kufungua na ipi ya kufunga kabisa!
Kazi ni ngumu na kubwa ila atafanikiwa! InshaAllah