Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,601
- 6,723
umejuaje?? Niko naye hapa nampa juice ya ukwaju kaweka nne ! We pika tu ule ufunge na mlango wako kabisaaa leo harudiii!
Hahaha we mtoto hakyanani utanivunjia ndoa
Just like the old days
umejuaje?? Niko naye hapa nampa juice ya ukwaju kaweka nne ! We pika tu ule ufunge na mlango wako kabisaaa leo harudiii!
Haka kako kama kile Umukagame na post zao za kubuni juzi juzi mara nimempenda kaka wa x wangu mliman city. Mara nimehongwa gari. Sijui ndio vinabalehe maana vinawashwa sana.imepita wiki sasa tangu aniombe namba ya simu. Ni kijana mnadhifu sana, tulikutana kwenye gari nikiwa natoka kazini na kwa bahati mbaya tulikaa siti moja. Aliniongelesha sana mpaka nikatoa namba yangu ya simu. Tangu hapo amekuwa msumbufu kila wakati anapiga simu mpaka saa8 za usiku. Kwa kweli nimetokea kumchukia sana japo hataki kuelewa kuwa simtaki. Imefika stage nimeblock namba yake ila ameamua kutumia lain nyingine. Naombeni ushauri nimfanyeje huyu mwanaume?
Hahaha we mtoto hakyanani utanivunjia ndoa
Just like the old days
umejuaje?? Niko naye hapa nampa juice ya ukwaju kaweka nne ! We pika tu ule ufunge na mlango wako kabisaaa leo harudiii!
Kamwe siwezi kukuchoka mpnz nakupenda sana
Just like the old days
likizo? Unahama kabisa na skuli!!
njoo tuongee chembaWewe hapo neno nakupenda inabidi uende kufundishwa upya na kiundani maana yake.Wewe ni wakunifanyia hivi?Kweli sitaki kuamini ila poa bwana have a fun
njoo tuongee chemba
Mkomoe basi uje hukuSitakiiiiiiii mie ngoja nilale zangu wewe endelea kufarahi
Mkomoe basi uje huku
Ewaaa usijali kuhusu hilo vaa ile nguo yako inayokutoa chicha nakuja sasa hivi hapoHebu njoo kwangu unichukue na mie nikauone mji kidogo
Ewaaa usijali kuhusu hilo vaa ile nguo yako inayokutoa chicha nakuja sasa hivi hapo
imepita wiki sasa tangu aniombe namba ya simu. Ni kijana mnadhifu sana, tulikutana kwenye gari nikiwa natoka kazini na kwa bahati mbaya tulikaa siti moja. Aliniongelesha sana mpaka nikatoa namba yangu ya simu. Tangu hapo amekuwa msumbufu kila wakati anapiga simu mpaka saa8 za usiku. Kwa kweli nimetokea kumchukia sana japo hataki kuelewa kuwa simtaki. Imefika stage nimeblock namba yake ila ameamua kutumia lain nyingine. Naombeni ushauri nimfanyeje huyu mwanaume?
realy? Dah watoto wananibana hadi nakosa pumzi za kuja huku!! Mekumis pia,mzma lakini??
huyu ndiyo evy , uongo mwingi , utapeli , kusambaza namba za simu , jinsia mbili.......
mods mshughulikieni huyu mtu anatuletea utoto tu humu........
cc; Invisible , Evelyn Salt Dinazarde masai dada Vaislay King'asti