Tangu aniombe hela yule dada nimekata mguu

Tangu aniombe hela yule dada nimekata mguu

Kuna mtu nilimuomba 300k akajichunisha baada ya siku 3 akarudi anajichekesha kama hakuona ile text, nimefukuzia mbali, unakuwaje karibu na mtu asiye na msaada.
Una EFD? Serikali inakosa mapato sana
 
lat week nilipoteza pochi yenye simu yangu yenye line ya mpesa na kadi ya benk na kila kitu
nina mkaka rafiki yangu mzuri tu nikamuomba hela hadi leo hatuongei tena mwenzangu.watu wanathamini pesa sana kumbe yaani .
Niombe mie

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Ayseee kuna watu wana vipaji vya kupiga makombora lol

Mimi rafiki yangu wakawaida ntakupuna tu ila kama Nina relationship na wewe siwez kuomba hahahah wajuvi naombeni training

invest what you are willing to lose
Kama huna roho ya kuomba hata ufundishwe vipi hutaweza

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Kwa mume mwenye kufahamu majukumu yake anatoa pesa ya matumizi home na anampa mkewe pesa ya matumizi yake binafsi factored in hayo yote uliyoyataja.
Labda hapo sawa...
 
Kuna mtu nilimuomba 300k akajichunisha baada ya siku 3 akarudi anajichekesha kama hakuona ile text, nimefukuzia mbali, unakuwaje karibu na mtu asiye na msaada.
Aisee! Hakuna mitelezo siku hizi wote ninkula kwa jasho me na ke

''Aut Vincere Aut Mori''
 
Hiv kwanin usitafte zako,tuanzie hapo..y unaomba omba,hiv hamuonag aibu,..mna exchange sex na pesa sasa mnatofaut gan na wanaokaa kona baa
Umesikia hatutafuti au zetu hatuna ????, ukitaka cha uvunguni sharti uiname babu, zangu zangu zako zetu.
 
Back
Top Bottom