Tangia nimeacha kula ugali fikra zangu zimekuwa SHARP!

Tangia nimeacha kula ugali fikra zangu zimekuwa SHARP!

Stability

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
571
Reaction score
1,829
Baada ya kujua ugali ni matofali sasa hivi nimekuwa mwingi wa kula protein na mavitamini , na starch nikiipata kwa ubwabwa etc.

Tutengeneze kizazi cha ma-genius kwa kuacha kula matofali

KATAA UGALI, UGALI NI MATOFALI, UGALI NI MATESO
 
Baada ya kujua ugali ni matofali sasa hivi nimekuwa mwingi wa kula protein na mavitamini , na starch nikiipata kwa ubwabwa etc.

Tutengeneze kizazi cha ma-genius kwa kuacha kula matofali

KATAA UGALI, UGALI NI MATOFALI, UGALI NI MATESO
Nimekumbuka mbali sana ila hoja hii --- miska hiyo kuna mdau akauliza mbona fulani na fulani akili na fikra zao zipo sharp na yunakula nao ugali?
 
Kwahiyo umekuwa jinias baada ya kuacha ukubwani?

Bora nife, kuliko kuacha kula ugali iwe na kitimoto roast, achana na ugali kula hiyo mikate ili uwe jinias
 
Babu zetu walikula ugali kwa wingi, pamoja na vyakula vingine vya asili kama vile matunda, mboga za majani na baadaye walipiga kazi kwa bidii. Hivyo vyakula vingi havikuwadhuru maana vyote vilitumika bila kuwekwa akiba!
 
Kataa Ugali.
Screenshot_20251223-134214.jpg
 
Back
Top Bottom