TANGAZO ZITO: Mwenyekiti Baba V nimerudi

TANGAZO ZITO: Mwenyekiti Baba V nimerudi

iii. Mungi ulete maelezo ya kina juu ya kashfa yako ya kimahusiano na mtoto wa under 18 sharifaa ,unataka upate brain concusion eeh!

Mkuu mi najua aliyekuletea hizo taarifa za kizushi, uwongo, umbeya na ukuda lazima atakuwa Dr.zero. huyo jamaa ni mnoko balaa.......................... nakanusha kuwa siyo kweli kwamba nina mahusiano na binti wa under 18!...................... pia siyo kweli kwamba sharifaa yupo under 18, yaani amenizidi miezi kazaa kiumri hahaaaaaaaa
Note:
Hizi kashfa asijesikia mke wangu kipenzi my Lily Flower! yaishie hapa hapa
 
Last edited by a moderator:
Baba V naleta hoja ya kupitishwa kwa ndoa za mkataba.

karibu sana Baba V jukwaani...kwa taarifa yako mimba alonayo Madame B mie ndio muhusika namba moja...hao wengine wote ni washika pembe na wengine wasafisha banda....huyo Arushaone ni mkata majani tu...
Ndoa yangu na Mamndenyi inategemea na maelezo ya nini amekuwa anafanya na Bishanga pindi nasafiri Judgement nae anamkuwadia Mamndenyi kwa anko wake ndio maana nikaamua kusaka dogo dogo wapyaaaaa....kuna mmoja kapatikana na atatambulishwa rasmi siku ya white party...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Naomba Mungu wote wawe baba. Mmoja dna yake iwe masikio, mwingine pua, mwingine brains, mwingine shape aka makalio, mwingine maumbile. Kama vipi tupige kura dada?

Piga kura mwaya King'asti maana hawa wanaume zangu wanataka kunifanya ndafu wa shughuli.
Nataka kila mmoja atoke na kiungo chake,labda watapoa.
 
Last edited by a moderator:
nitahitaji maombi maalum ili huyo pepo mbaya asije mvaa my Evelyn Salt naogopa kuwa zezeta mbele ya my waifu wangu. Cheyamen Baba V naomba uunde tume ichunguze hili jambo aisee chezea lukomolo eikei ei shuntama au genda ugaruke pale singida waita nkulu kulu. Ikibainika hivyo nitatoa talaka siku ya ndoa.

Ondoa shaka my dia mi hata siendagi, nasikia tu story!!!!!!!
kama sahivi tu mapenzi ya kawaida upo hivo, nikienda huko je? si utaacha kazi ukae nyumbani kunihudumia mie....
 
Back
Top Bottom