Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,550
Manaake nimeambiwa nisiingie siasani bila kutekeleza hilo sharti
Ana frustrations mkongo huyo,kakuta Arushaone kavuruga mzigo wake utadhani alikuwa anakanyaga kwa miguu, afu mbaya zaidi kimekatikia, chezea kulea mimba ya chalii mwenzio nini!?? BTW ahsante sana mkuu