Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,550
- Thread starter
- #61
karibu sana Baba V jukwaani...kwa taarifa yako mimba alonayo Madame B mie ndio muhusika namba moja...hao wengine wote ni washika pembe na wengine wasafisha banda....huyo Arushaone ni mkata majani tu...
Ndoa yangu na Mamndenyi inategemea na maelezo ya nini amekuwa anafanya na Bishanga pindi nasafiri Judgement nae anamkuwadia Mamndenyi kwa anko wake ndio maana nikaamua kusaka dogo dogo wapyaaaaa....kuna mmoja kapatikana na atatambulishwa rasmi siku ya white party...
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Hivi nyie wana mbona mnapenda kunichanganya kichwa mwenyekiti wenu..?? khaaa, mnataka nizeeke mara ya pili!??
Last edited by a moderator: