Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,546
love u 2 darling... Ila umepima mupenzi? Nahisi ulipotoka hakuna usalama
Kimekushtua hicho kikohozi kikavu hapo juu!!??!
love u 2 darling... Ila umepima mupenzi? Nahisi ulipotoka hakuna usalama
love u 2 darling... Ila umepima mupenzi? Nahisi ulipotoka hakuna usalama
Kimekushtua hicho kikohozi kikavu hapo juu!!??!
kimenuka..
watu na anga zao hivi waijua historia ya uyo unaemng'ang'ania??
Unataka nikutake ili uuze gazeti...!!!
jibu zuri....Gazeti gani..... KISIWA?
nilishaambiwa lakini nahisi wanampakazia
matope au??
Kama hujui kusoma hata picha NJITI hauoni?
nasikia wakaguzi wanamchezo mbaya, wala sitaki wanikague
hii kazi ya kuchagua mume imenishinda atii.... Hebu nichagulie!
Najichagua mimi niwe mumeo wa maisha.
Heeeeeeeeeeeeeeeeeeee..................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
naona mnataka kunitafutia matatizo kwa wake zenu; king kan mkewe kanigeuza beki3 wake, slave naye analumbana na mkewe kutoa taraka, kwa chimbuvu napo napewa vitisho na madame B, manoah naye kilasiku anataka nimtathmini bado na wewe tena unataka uniongezee majanga...... Hivi single boys humu hamna?
Acha kushangaa; tangaza kamati ya ndoa fasta.
Single boys tupo, sema tu majukumu mengi.....wapi Asnam, nimekumiss
Lady doctor singo boy aliyemo humu ni mimi tu. Wengine wote wameshawowa.