Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,832
- 37,438
Last edited by a moderator:
Wewe uwe na Anga............ na Sir God asemeje?
Shem Nalipinga hili.......... heri hilo kapu likae kwangu tu.
Yeye ana mbingu...
Wewe tulia mama! Wewe uliona wapi bibi harusi anapewa kadi ya mwaliko!!?
kumbe ulisha nijibia... Thanx.
Koh! Koh! Koh!
Sitakiiiiiiiiiiii............ mtanidhulumu hela zangu za michango, Sitaki, Sitaki.
Nyama ya bata ni tamu nyama ya bata ni tamu....kwa ugali ni tamuu kwa wali ni tamuu
ooooh...... swiriiii...... i real miss u jamani, ulikuwa wapi mpaka mwenzio nataka kuolewa?
Unauliza majibu ili upewe swali..!??
Sitakiiiiiiiiiiii............ mtanidhulumu hela zangu za michango, Sitaki, Sitaki.
ohoo amejiengua kwenye sacos??
wewe si ndie mhusika..
Wewe unayo "Goodwil"
apo chacha..!!!!
Madame B tafwadhali usiniingilie kwenye anga zangu... Hebu nenda kafunge ndoa huko...... Unasubiriwa kanisani