Mie nilikuwa naangalia tu wafuasi wangu walivyo vicheche, ila nimewaona mko wengi...
Akuu...! sitaki hata kidogo
kumbee.... Basi sitomkubalia katu!!!
Kiwowowo tu lolme sio kicheche Baba V ninamkosi wa kutongozwa na waume za watu bila kujua.... Sasahivi sitaki tena kutongozwa ili nitulie.
Bora single girl!!!!!!!
Copy kwa mabwana zangu wote na wanaonimendea
Kiwowowo tu lol
Hili swala sio kwa mapenzi yako! Ni kwamujibu wa sheria na taratibu!
hv kukaguana ndo nn jaman
bado mpaka ndoa