stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,106
Mmh naona leo mmeamua kuoa ngoja na mimi nitangaze ndoa!
Ila huyo mkeo mtarajiwa mbona kama ni mke wa mtu au namfananisha?
ana sacos yake
Mmh naona leo mmeamua kuoa ngoja na mimi nitangaze ndoa!
Ila huyo mkeo mtarajiwa mbona kama ni mke wa mtu au namfananisha?
madame B unataka ufungue danguro la wanaume?
Heeeeeeeeeeeee.................
ana sacos yake
khaaaaaa
yamekuwa haya?!
Mie najua ana tiari sacoss
idadi inaongezeka
hivi wamefika wangapi sasa hivi!!
maskini Ben Saanane, Chimbuvu tedo, Chilli, @........, @...........
@.........., @..............!!!!!!ndoa mseto
mzima ?
mko wengi ujue...... Sijui nitangaze na nani kati yenu
jiulize kwanza mko wangapi?
stevoh........... Mie mwenyewe nina hisa zangu kwenye ndoa zangu.mh! Wahusika lazima wote wawe na mikopo...
Except mweka hazina Madame B yeye ndo anahifadhi ila hao wengine ni providers
hii sikuwa nimeiona. Madame B ..........hongera tena. sasa kitchen party lini?
kazi ni kwako......!
hii kazi ya kuchagua mume imenishinda atii.... Hebu nichagulie!
Hallo honey!