Tangazo la ndoa

Tangazo la ndoa

usifanye uamuzi mgumu kiasi hicho kwanini ujitoe roho yako kisa mwanamke yaani penzi ndo likupeleke jehanamu bestito? usijiue wako wengi humu mjengoni wewe chagu umtakaye halafu natangaza NIA yako wachangiaji tupo na tualike kwenye kikao mm nitakuwa KATIBU katika kikaoc hako cha harusi na nitakuwa MSEMAJI siku hiyo na kapu la utunza hazina alishike Filipo na uenyekiti mwambie my cousin charminglady anafaa zaidi hupo hapo

halafu mwambie matron wakujitolea nipo
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mmh naona leo mmeamua kuoa ngoja na mimi nitangaze ndoa!
Ila huyo mkeo mtarajiwa mbona kama ni mke wa mtu au namfananisha?

Jamani mbona mwaniharibia tena Lady doctor?

mtz one wewe utakuwa mume wa ngapi + washika pembe?

............:shock::shock::shock:.........


Dah!!!!!!!!!
Haya Bhana!!!!!! saudari, niharibie tu.

Hivi kumbe mtz one ni mwanaume lol
Haya oaneni

Ni mwanaume tena Rijari.

hivi unamjua Ben Saanane? halafu nani kakwambia Madame B anaolewa yeye ni pesa yako unajilia halafu unalala mbele

Acha wenge nitonye, we mwenyewe unanitaka.

jiulize kwanza mko wangapi?

Tuko 8 tu Shoga,.......Mitala tamu.

nimenyosha mikono juu naona hujaniona mkuu
naomba mwongozo wako mkuuu
japo niseme ya moyoni mwangu kwanini mm namfahamu Madame B ana mume wake Chimbuvu na alishaachana na Ben Saanane sasa sijui kwanini ndoa hii imepitishwa na kupewa kibali cha inspecta Baba V ?

Dada ladyfurahia, hata nawe waiponga ndoa yangu?

Hahaha kuna kitu alinifanyia sitamsahau

.................:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S kiss:..........

akiupindisha huo mstari sijui itakuaje

Hahahaahaaaa............. Tutaenda sawa tu, Mpaka kieleweke Shoga.

Haha baada ya ndoa ntakuwa na nguvu ya kukamata binduki

Bunduki ipi sasa, Original or Fake?

Wee npo tayari kumpa chochote nilichonacho sema mumy Madame B unataka nn?

2013-lamborghini-aventado-1_600x0w.jpg



idadi inaongezeka
hivi wamefika wangapi sasa hivi!!
maskini Ben Saanane, Chimbuvu tedo, Chilli, @........, @...........
@.........., @..............!!!!!!ndoa mseto


Mke mwenza X, mume nimekuachia lakini bado wanitakiani,..... Mweeee
Ntamrudisha my X kwangu.

madam b yupi?
Madame B mimi hapa,........
Utakuwa matron wangu siku ya harusi yangu Smile.

Nina pingamizi... Mwanamke ni mkubwa kuliko mwanaume

.....Una kadi langu la Clinic Ngalikihinja?
au nawe wanivizia?

Ukisikia ndoto za alfulela ulela ndo hizi!

..........Ndo ushanikosa hivoooooooooo.

Nshapendwa mwenzio full kupagatwa

Na wewe usijishaue,.........
Utaachika kabla hata hatujafunga ndoa mtz one.
 
Jamani mbona mwaniharibia tena Lady doctor?



............:shock::shock::shock:.........



Dah!!!!!!!!!
Haya Bhana!!!!!! saudari, niharibie tu.



Ni mwanaume tena Rijari.



Acha wenge nitonye, we mwenyewe unanitaka.



Tuko 8 tu Shoga,.......Mitala tamu.



Dada ladyfurahia, hata nawe waiponga ndoa yangu?



.................:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S kiss:..........



Hahahaahaaaa............. Tutaenda sawa tu, Mpaka kieleweke Shoga.



Bunduki ipi sasa, Original or Fake?



2013-lamborghini-aventado-1_600x0w.jpg





Mke mwenza X, mume nimekuachia lakini bado wanitakiani,..... Mweeee
Ntamrudisha my X kwangu.


Madame B mimi hapa,........
Utakuwa matron wangu siku ya harusi yangu Smile.



.....Una kadi langu la Clinic Ngalikihinja?
au nawe wanivizia?



..........Ndo ushanikosa hivoooooooooo.



Na wewe usijishaue,.........
Utaachika kabla hata hatujafunga ndoa mtz one.

madame B unataka ufungue danguro la wanaume?
 
Wakuu kwa mara ya kwanza napenda kutangaza ndoa kati ya mtz one na Madame B hivyo yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii ajitokeze nawasilisha

Umetoa wapi hayo mamlaka ya kutangaza ndoa hapa, je u mgeni hapa yerusalem?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom