Yaani, watu siku hizi wanakimbia hadi familia zao kwa kuogopa madeni.
Mwenzako kishabondwa life ban
Kuna mpwa wangu alienda kujifungua sijui alifikishwa salama na Ambulence maana alitoka hapa tupo liko kwenye meno analia mtoto anataka kutoka sasa sijui na sema sijui huyu kama alifika salama maana hizi hospitali zetu za wilaya na ambulance ni bajaji natia shaka!!Nani mwenye taarifa za mpwa wangu huyu mwenye jina DASOPHY???
Ha ha ha, na wewe unapenda kichwa chake eeeh?
Kuna baadhi ya sehemu zake zilikatiza mitaa ya manzese nikaziambia zije kwako. Hazikufika?
Nimesahau, gongo za utototni zinatesa
Bora umetokea my Big Broda lol!LOL Hiyo haiwezekani kama Tambi na mboga ya majani....AshaDii nipo naye hapa katulia tu:lol::lol::lol:
Bora umetokea my Big Broda lol!
Mpe hi my Big Sisy hapo!!
Kweli huyu mheshimiwa ameadimika kidogo,
Jaman popote alipo kwa atakaye mwona amwambie kuna tangazo huku!
Najua kuna watu watakuwa wanataka kuimarisha maujanja ya small haoc dah!!!
Your my only Big Broda!lol Canta you know how Big I am eeh.. good. Umemwona babu yako?hoto: