Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,333
- 17,873
Here i am Big broda!!
Mpe my big sisy taarifa kuwa mdogo wake nakuja lol!
khaaa ur Sisy mbona hana tatizo...huwa siku zote tuko tayari kwa wageni...so worry not,,,unapita njia gani....
Here i am Big broda!!
Mpe my big sisy taarifa kuwa mdogo wake nakuja lol!
Poa broda,khaaa ur Sisy mbona hana tatizo...huwa siku zote tuko tayari kwa wageni...so worry not,,,unapita njia gani....
Poa broda,
Hapo sas inabidi unikumbushe jina la kituo lol!
Si unajua kwenu huko uzunguni,ili nikishuka pale nichuke tax mpaka hapo hm!
Nimeshaondoka nakuja mjini huko, ndio nakaribia kimara mwisho inabidi tukutane ubungo Broda.haaaa,,,jamani kituo hukijui? au nikufate kabisa....si bado upo maili mbili kibaha?
Nimeshaondoka nakuja mjini huko, ndio nakaribia kimara mwisho inabidi tukutane ubungo Broda.
Tehe....njoo kwa kakako huku sasa....wewe sio wa kusubiri ana ana ana do bana....:A S-coffee:
Habari zimfikie popote alipo,ahaaa....sawa kumbe umeshajua kutabiri lol
mwambie babu mleo utalala kwetu kabisa...walau hadi wimbi la mwisho wa mwezi liishe
naona na yeye soon atatolewa tangazo la kupotea
Tehe....
Habari zimfikie popote alipo,
Nahamia kwenu mpaka katikakti ya mwezi ndio tutaonana,
Kwa maelezo zaidi awasiliane na ww lol!
Haa haaa haaa,ewaaa..mi ndo bosi wake...na hapo katikati ya mwezi ni kwa ruksa maalum ya dadako na miye
Haa haaa haaa,
Km vipi mpaka mwakan!
Na pale jiran kwenu kuna jamaa alishatangaza nia nikamwambia asubiri mwakan,
Nikirudi kwa babu narudi narudi na mchumba na mahari nyie mshapokea lol!!
Nipo ndugu, hebu ninong'oneze!afu SL umepotea wapi tangu asubuhi....nina neno nawe...:gossip:
Babu hawezi kufa ila itabidi mjiandae kumpa mgao wake hapo ndio itakuwa patashika!duh...babu ODM atakufa kabla ya wakati wake...,mdogo mdogo inatakiwa lol
Bado tu hujamupata TB,Sidhani, FF si ndo kuwa malenga wa kiswahili yule.
Yeye huwa anapenda mangereza
Kuna mpwa wangu alienda kujifungua sijui alifikishwa salama na Ambulence maana alitoka hapa tupo liko kwenye meno analia mtoto anataka kutoka sasa sijui na sema sijui huyu kama alifika salama maana hizi hospitali zetu za wilaya na ambulance ni bajaji natia shaka!!Nani mwenye taarifa za mpwa wangu huyu mwenye jina DASOPHY???