GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
- Thread starter
- #21
Ninakereka sana ninapolisikia hilo jina, Tanzania Bara.Juzi tu siku ya uhuru wa Tanganyika nikashangaa sana kuona bango miaka 62 ya uhuru. Nikajiuliza kwa nini mwandishi hakutaka kuandika neno Tanganyika mpaka leo sielewi
Mara utaona uhuru wa Tanzania bara sijui ndio nchi gani