Tanganyika ni nchi inayotumikishwa kwa kivuli cha Tanzania?

Juzi tu siku ya uhuru wa Tanganyika nikashangaa sana kuona bango miaka 62 ya uhuru. Nikajiuliza kwa nini mwandishi hakutaka kuandika neno Tanganyika mpaka leo sielewi

Mara utaona uhuru wa Tanzania bara sijui ndio nchi gani
Ninakereka sana ninapolisikia hilo jina, Tanzania Bara.
 
Je uliwahi kuona wanaogopa kutaja jina la majimbo yao mfano Washington, Newyork
Wataogoopaje wakati Marekani ni moja yenye majimbo zaidi ya hamsini? Na huo Muungano haupo kwa maslahi ya watawala kama ulivyo wa Tanganyika na Zanzibar, ni kwa manufaa ya wananchi.

Ndiyo maana pamoja na ukubwa wote wa Marekani, husikii kero kama za Watanganyika na Wazanzibar. Na sisi tungekuwa na Muungano kama huo usingesikia manung'uniko yoyote.

Lakini kwa huu uliopo, Wazalendo hawatakaa wauvumilie huo udhalimu wa watawala.
 
Muungano huu wa hovyo duniani kote unashikiliwa kwa mtutu wa bunduki na watawala wachache waliojimilikisha hatimiliki ya Tanganyika wasio na maono wenye mitazamo ya kizamani,nakwambia l have a dream kwamba siku moja muungano huu utafunjika na Tanganyika kuwa huru wkt ambapo chama chenye kujitambua kitaitoa ccm madarakani ,wananchi watapewa fursa ya kupiga kura ya maoni kma wanautaka au hawautaki huu muungano na hakika kwa upepo ulivyo kww wananchi hapo ndo itakiwa mwisho wa muungano fake ,nchi ya watu m60 inapelekeshwa na kuendeshwa na nchi ya watu m2 ,kwa sbb tu tunaviongozi wa hovyo hakuna mfano
Kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho. Udhalimu hautatawala siku zote.
 
Nyerere kafanya jambo kubwa sana katika ulimwengu huu amani unoiona leo tz kuwepo tanganyika +zanzibar =tanzania ndio inokupa kiburi kutukana waasis wa nchi hii leo bila ya zanzibar kuunganishwa na tanganyika ungekuwa unahubiri wale wagogo wale wasukuma wale wachaga wale wazaram lkn nyerere aliwasoma wazanzibar ni watu wa aina gani uvumilivu wao sio km wa wtanganyika aliona hilo kuponza ukabila kwa watanganyka kila mmoja angejiona kabila lake lina haki zaidi kuongoza tanganyka mfano halisi angalia jirani ztu wakunya wanavoteseka na ukabila imefka hadi kama sio mkikuyu au mtu kutoka mlima kenya au iktokezea kabila jengine wamkubali wao ndio wanahis ndio ana stahik kuongoza kenya tena akili zao wanaona nijambo la kawaida tu kuhubiri ukabila leo unaiona kenya ilivokua haina utulivu chuki za ukabila wazi wazi na ruwanda burundi ugonjwa ndio huo huo ukabila unawala nafsi zao kwa busara ya waasisi km nyerere aliona hilo mapema alijua vizaz vijavo tusipo wekewa misingi imara mapema vitakuja ambukizwa virus Vya kikuyu , watusi na wahutu.muungano huu hutouona unamaana ukiwa una chuki ya udini ukabila ukanda lkn kwa mwenye akilitimamu hayuko tayr uvunjike

Muungano ambao mbara hawezi kuwa kiongozi ama kumiliki ardhi Zanzibar, lakini mzanzibar anaweza kupata chochote huku bara?! Huo sio muungano Bali ni upuuzi kama upuuzi mwingine.
 
Ukitaka kuhakiki maneno yako nenda Sasa hivi Zanzibar uone kwa macho yako maendeleo yaliyofanyika mara baada ya kifo cha Magufuli. Hapo ndipo utaona utamu wa muungano kwa Zanzibar
 
Ukitaka kuhakiki maneno yako nenda Sasa hivi Zanzibar uone kwa macho yako maendeleo yaliyofanyika mara baada ya kifo cha Magufuli. Hapo ndipo utaona utamu wa muungano kwa Zanzibar
Na huo ni utangulizi tu. Fedha za bandari za Tanganyika zitakapoanza kuingia ndipo maendeleo yatakapoanza rasmi.
 
Marekani Kuna nchi ndani ya nchi? Kule Kuna states wakati hapa ccm hamtaki sera za majimbo.
Fatilia vizuri mitandao ya kijamii nini kinaendelea texes uko marekani,na kenya pia km mmezowea kudanganywa na wana siasa wkutumien ukimaliza uchaguz wapeleke vimada vyao bungeni endelea tu kudanganywa usifanye kazi kwa bidii hubiri majimbo katiba mpya na ratiba ya maandamano
 
Fatilia vizuri mitandao ya kijamii nini kinaendelea texes uko marekani,na kenya pia km mmezowea kudanganywa na wana siasa wkutumien ukimaliza uchaguz wapeleke vimada vyao bungeni endelea tu kudanganywa usifanye kazi kwa bidii hubiri majimbo katiba mpya na ratiba ya maandamano

Hatufanyi kazi, umewahi kuona mtu anakuletea familia yake uilishe we mtumwa wa ajira?
 
Fatilia vizuri mitandao ya kijamii nini kinaendelea texes uko marekani,na kenya pia km mmezowea kudanganywa na wana siasa wkutumien ukimaliza uchaguz wapeleke vimada vyao bungeni endelea tu kudanganywa usifanye kazi kwa bidii hubiri majimbo katiba mpya na ratiba ya maandamano
Wewe unaunga mkono Zanzibar kuitumikisha Tanganyika?
 
Nilisha wahi kujiuliza, kwanini Hayati Mwl. Nyerere aliipendelea na kuipenda sana Zanzibar?!.. mpaka chama akakipa jina la Mapinduzi ya Zanzibar. Hivi ni kusema kwamba chama tawala kinaakisi zaidi yalee yaliotokea Huko.

Vijana wa Tanganyika wamelala hoi, hawataki hata kujifunza kuhusu Muungano.

Ni kama kusema Muungano huu uliamriwa na mahaba binafsi ya viongozi na si matakwa ya wana wa nchi.

Watanganyika wengi walikuwa bado na ujinga mwingi, hata wangeshirikishwa jibu lingekuwa ni NDIOOO
Kweli tofauti 'na wenzao wa zanzibar hata kipindi cha karume wengelikataa kamanda wengeshirikishwa kutoa maoni
 
Nimezaliwa ndani ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar miaka yote naijua Zanzibar yenye utamaduni wake pamoja na sheria mbalimbali pamoja na siku yake iliopata uhuru (mapinduzi day) sina maana kwamba muungano hauna maana hapana najaribu kuzua hoja kwamba kuna mahali waasisi wa Tanganyika walikosea , hakuna historia ya Tanganyika maana ata siku ya uhuru wake kama taifa inafahamika kama uhuru wa Tanzania wakati hii Tanzania ni taifa la Muungano ambalo halikutawaliwa na wala halikupata uhuru. Iko wapi Tanganyika!!?
 
Nimezaliwa ndani ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar miaka yote naijua Zanzibar yenye utamaduni wake pamoja na sheria mbalimbali pamoja na siku yake iliopata uhuru (mapinduzi day) sina maana kwamba muungano hauna maana hapana najaribu kuzua hoja kwamba kuna mahali waasisi wa Tanganyika walikosea , hakuna historia ya Tanganyika maana ata siku ya uhuru wake kama taifa inafahamika kama uhuru wa Tanzania wakati hii Tanzania ni taifa la Muungano ambalo halikutawaliwa na wala halikupata uhuru. Iko wapi Tanganyika!!?
Mapibduzi sio siku ya uhuru wa Zanzibar.
 
Nimezaliwa ndani ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar miaka yote naijua Zanzibar yenye utamaduni wake pamoja na sheria mbalimbali pamoja na siku yake iliopata uhuru (mapinduzi day) sina maana kwamba muungano hauna maana hapana najaribu kuzua hoja kwamba kuna mahali waasisi wa Tanganyika walikosea , hakuna historia ya Tanganyika maana ata siku ya uhuru wake kama taifa inafahamika kama uhuru wa Tanzania wakati hii Tanzania ni taifa la Muungano ambalo halikutawaliwa na wala halikupata uhuru. Iko wapi Tanganyika!!?
HATA VIONGOZI HAWAJUI NYERERE ALIIFICHA WAPI NDIO WANASEMA UHURU WA TANZANIA BARA
 
Back
Top Bottom