johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Hii Pwani ya Dar es salaam yote ilikuwa ni Zanzibar
Mambo Makubwa yote ikiwemo Dini Ili kuingia Tanganyika ridhaa ilipatikana Zanzibar
Tanganyika lilikuwa ni shamba la kupata Watumwa na baadae Manamba
Mwalimu Nyerere aliona bila kusaidiwa na Zanzibar ile Tanganyika isingefika popote
Hata sasa CHAWA ni Watanganyika kwa sababu ya umaskini wa Fikra Huru
Zitto alidhani ACT wazalendo itawatumia wazanzibar kujinufaisha lakini imekuwa Kinyume chake
Jussa alisema Watanganyika ni Wavivu wa Kusoma historia
Mambo Makubwa yote ikiwemo Dini Ili kuingia Tanganyika ridhaa ilipatikana Zanzibar
Tanganyika lilikuwa ni shamba la kupata Watumwa na baadae Manamba
Mwalimu Nyerere aliona bila kusaidiwa na Zanzibar ile Tanganyika isingefika popote
Hata sasa CHAWA ni Watanganyika kwa sababu ya umaskini wa Fikra Huru
Zitto alidhani ACT wazalendo itawatumia wazanzibar kujinufaisha lakini imekuwa Kinyume chake
Jussa alisema Watanganyika ni Wavivu wa Kusoma historia