Tanga Sirudi Tena...

Tanga Sirudi Tena...

Last edited by a moderator:
Mentor angalia tuu usije ukapata watoto wakaanza kukuita babu maana kwa trend hiyo ya kuanzia baba na kaka yako inaelekea wewe utavunja record hapo ya kuwa na umri zaidi ya hao
 
Last edited by a moderator:
..... Kweli niliamini hata binti awe mpole vipi, mrembo vipi usimuamini kirahisi hivyo. Kuna mengi nyuma.........Nikakumbuka kiwanja changu nilichonunua miezi miwili iliyopita na kuwaza nyumba niliyotaka kujenga mwisho wa siku nitahitaji tu ukubwa wa futi sita chini na upana hata mita moja ungetosha kwa jinsi nitakavyokuwa nimekonda......
...Ila tukio lile lilinifanya niache uhuni. Leo nimepokea simu ya Aneth akinitaarifu kuwa anaumwa sana akidhani na mimi nimeathirika kama yeye....
  • Nimejifunza kitu hapa. Nimesoma simulizi yote neno kwa neno.
 
Weee! Alipima mara ngapi? Hainaga poo hii kitu labda apeleke damu ya mbuzi au kuku kama akilazimika kurudi mara ya pili! Madaktari wetu waliosoma enzi za migomo hawachelewi kukupa majibu ya mwenzio!
Unajua mkuu, amenipa hofu kidogo aliposema alipima wakati wa maonesho tu, na hii kitu ina hatua zake. Moja wapo ya hatua hata ukipima unaweza usiione, sasa nilitaka kujua tu kama alirudia tena baada ya miezi mitatu.
 
Pole sana mkuu na hongera pia kwa kupita salama.

TRUST NONE
 
Halafuuu wewe ni Tanga ipi uijuayo? Pale opposite na Chichi club au La vida loca panaitwaje???

Ni Tanga hiyo hiyo kaka lakini siye tulizoea kupaita Jamhuri Park....ni ule mtaa ambao upande mmoja ukienda moja kwa moja watokea ofisi za Manispaa....halafu huu upande mwingine waenda hadi ghorofa la bandari.

Bila shaka ukiziona hizi picha utavuta vilivyo taswira ya kijana Shabaan...


tanga3.jpg


tanga2.jpg
 
Sasa Mentor unataka na mimi nigahiri kuchukua mtoto wa kitanga ila tuacheni maskhara watoto wa kitanga wengi wao ni wazuri ........
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom