halloperidon
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,101
- 5,266
Mamy upo Tanga weyeNdio nimefika muda huu Dada.
Mamy upo Tanga weyeNdio nimefika muda huu Dada.
Majira Kama haya ya sikukuu wenzetu kule Kaskazini wengine wanaenda na Magari Yao binafsi hadi vijijini ndani kabisa, sasa jaribu kwenda na Gari binafsi Tanga Kwenye kijiji cha mama yako Au baba yako uone!
Mkuu mbona nasikia Tanga ndo kuna wake wazuri wenye mapenzi na upendo mapenzi yalipoanziaNawashauri ndugu zangu wa Bara Tanga sio sehemu salama ya kuchukua mke ila kama umefata cha kupoozea makali sawa ila wife material huku hakuna...... mimi binafsi nipo hapa tanga nimetokea moshi.
mapenzi wanajua ila sio pa kuoaMkuu mbona nasikia Tanga ndo kuna wake wazuri wenye mapenzi na upendo mapenzi yalipoanzia
Nitakuja kuoa Tanga, nitakuwa shemeji yakoboss watu watanga wamekufanyaje? Mbona unapovuka ivyo.
Hawana shida ni marafiki na nina ishi nao vizuri ila kwenye ukweli ndugu usemweboss watu watanga wamekufanyaje? Mbona unapovuka ivyo.
Hapana.Mamy upo Tanga weye
Muembe mawazo huoKati ya mikoa niliyo na historia nayo basi ni Tanga.
Anzia Amboni nenda hadi raskazone nyooka mikanjuni,sahare pongwe,usagara.
Kuna mzee mmoja pale mwembe wa(nimeusahau jina) Chumba geni alikuwa anauza miwa nilizinguana na konda na dereva akanisaidia nimerudi baada ya miaka sita nikamkuta nadhani hadi sasa kama hajafariki atakuwepo pale.
Nyie si ndio wake zenu walikuwa wanakodisha wanaume nchi jirani?Nawashauri ndugu zangu wa Bara Tanga sio sehemu salama ya kuchukua mke ila kama umefata cha kupoozea makali sawa ila wife material huku hakuna...... mimi binafsi nipo hapa tanga nimetokea moshi.
Na pia wanawake wa Tanga ndio wanaongoza kwa kupendwa na kuolewa na wanaume wa mikoa mingine kwa Tabia zao na kujua kupika kwao
Asante mkuu kwa kumpashaNipo Tanga nyumba za nyasi Ushirikina umekidhir hakuna maendeleo yoyote mna wivu hampendi kuona mtu kafanikiwa
Mtabaki maskini hivyo hivyo kwa akili mbovu hiziKwetu utajiri wa maana ni Roho(pumzi) tu mengine yote ya kupita
Mijinga sanaYaani vijana wadogo wamenunua majini yaani kijana wa umri wa miaka 20 mpaka 25 anachukua mkopo wa milioni ananunua jini kopela au zongo