Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,194
Kati ya mikoa niliyo na historia nayo basi ni Tanga.Tanga Ndunia bwana ukimisikia mdigo akiwa anaongea ananipa raha sana, sasa ukutane na ubish wa msambaa hata kama hajui kitu utafurah wewe.
Anzia Amboni nenda hadi raskazone nyooka mikanjuni,sahare pongwe,usagara.
Kuna mzee mmoja pale mwembe wa(nimeusahau jina) Chumba geni alikuwa anauza miwa nilizinguana na konda na dereva akanisaidia nimerudi baada ya miaka sita nikamkuta nadhani hadi sasa kama hajafariki atakuwepo pale.