Tanga kwetu raha

Tanga kwetu raha

tanga n ya mwisho kila idara kulinganisha na mikoa ya kaskazn
hawa wanapaswa kua pwani
 
Kila siku Tanga raha, Tanga raha, raha gani? Maneno mengi sana hawa watu, kazi yao kubwa vigodoro, uvivu/umwinyi mwingi, vichwani wanawaza kugegedana muda wote, hamna kitu zaidi ya porojo tu za kusadikika.
Maduka wanafungua saa nne, saa sita wanafunga. Hilo bomba litanufaisha wageni tu
Kila siku Tanga raha, Tanga raha, raha gani? Maneno mengi sana hawa watu, kazi yao kubwa vigodoro, uvivu/umwinyi mwingi, vichwani wanawaza kugegedana muda wote, hamna kitu zaidi ya porojo tu za kusadikika.
Maduka wanafungua saa nne, saa sita wanafunga. Hilo bomba litanufaisha wageni tu
asante mkuu hii mijitu inaaibisha kaskazn
 
Hakuna cha maana? we una matatizo si bure,hebu jaribu kugoggle uijue vizuri Tanga haswa kiuchumi usiongee kama umekatwa kichwa,nakukumbusha tu bakhresa upande wa matunda anatutegemea sana
unachekesha,nyie wavivu MNA uchumi gani? kaz yenu baikoko tu
 
TaTV+Office+20171210_102315.jpg
 
Tanga ukifanya chochote cha maendeleo unalogwa!
Ukijaribu kujenga Nyumba wata kurogwa Au wakuharibie kazi Au Biashara unayofanya inakupa pesa ili ukwame
 
Majira Kama haya ya sikukuu wenzetu kule Kaskazini wengine wanaenda na Magari Yao binafsi hadi vijijini ndani kabisa, sasa jaribu kwenda na Gari binafsi Tanga Kwenye kijiji cha mama yako Au baba yako uone!
 
Tanga ukienda na mtoto mchanga utakoma nakwambia , maana hamtakuwa mnalala
Watoto ni kuumwa Homa havieleweki
Mazongo ni noma
Kule watoto wanaenda wakiwa wakubwa wanaweza kujieleza wapi panauma!
 
Bora kule Bara ambako wanawakata mapanga wachawi pale inapothibitika ili mradi wasimuonee Mtu
Mungu mwenyewe ameruhusu wachawi kuuawa pale inapothibitika kuwa Kweli flani ni mchawi
 
Yaani vijana wadogo wamenunua majini yaani kijana wa umri wa miaka 20 mpaka 25 anachukua mkopo wa milioni ananunua jini kopela au zongo
 
Nimegeuka Juzi home Tanga asee natatafuta Walau chemba nipige kitimoto na Maji safi kidogo wapi mji mzima bar unatafuta kwa Torch i hate Tanga, Kuzama mkwabi hii supermarket mpya Ndo nakutana na Maji safi nkanunua na kushusha na nyama ingine tu pale nje, Wakuu wapi ntapata nguruwe apa Tanga mjini?
 
Mwenye ramani ya tanga,mambo yetu yalee ya kwenye jukwaa la chini kabisa,yaani jukwaa la watoto yanapatikana wapi hapa tanga mjini,
cc lokiyo na wengine.
Boss ni shida kwa kweli mi nimekuja juzi kusalimia nilipita pale pande za maktaba kule forodhani pamechoka na totoz hakuna kabisa wa kutisha
 
ngoja tusikilize mastori ya tanga...
Zamani kwetu tulikuwa tunaaminishwa eti tanga hata ukipiga teke kifuu cha nazi kinakuongelesha na kukupiga mikwara, hapo hujamgusa paka ndio balaa.

hayo mambo yalikuwepo au tulilishwa matango pori.
Piga jiwe paka anaetembea juu ya bati mchana usiku hulali
 
Tanga ukifanya chochote cha maendeleo unalogwa!
Ukijaribu kujenga Nyumba wata kurogwa Au wakuharibie kazi Au Biashara unayofanya inakupa pesa ili ukwame
Sio kweli tatizo ni kwamba watu wa Tanga ni wastarabu sana kiasili lakini endapo utawachokoza figisu wanazimudu sana 700% Chukua mkewe utachakaa tongoza watoto wa kitaa ukikala kamekuponza wadharau Kwa kujifanya mjuaji wa mjini wewe utakiona tu na adhabu yao kuu wanakimbilia kukuporomosha kifedha bila kujua na utaporomoka tu
 
MImi sio wa tanga, nasikia watoto wa tanga wanajua mambo...

Hivyo kunitamanisha kutaka kuoa mtoto wa tanga, labda ntapata mmoja hapa
 
Nimegeuka Juzi home Tanga asee natatafuta Walau chemba nipige kitimoto na Maji safi kidogo wapi mji mzima bar unatafuta kwa Torch i hate Tanga, Kuzama mkwabi hii supermarket mpya Ndo nakutana na Maji safi nkanunua na kushusha na nyama ingine tu pale nje, Wakuu wapi ntapata nguruwe apa Tanga mjini?
Nenda maeneo ya majani mapana pale shuleni karibu na uwanja wa shule kuna sehemu wanauza
 
Back
Top Bottom