Tanga kwetu raha

Tanga kwetu raha

Aisee mgosi, naona umesahau ule ufundi wetu wa kutengenezeana Mabusha na kulazana mibuyuni
 
Wengine kutwa kupaka hina na wanja !
Siyo vibaya lakini tufanye kazi kwanza wakati wa mapumziko ndo tucheze baikoko, mdumange, n.k pamoja na kupaka hizo hina n.k
 
Tanga Kwa mapishi mahodari sana!
Nyama ya ng'ombe kuungwa nazi ni jambo la kawaida sana! Na inanoga vizuri sana!
Embe mbichi zinatumika kuungia Mboga !
Vya chukuchuku pia vinapikwa na kuwa na radha nzuri sana!
Ila yatupasa kubadiri namna yetu ya kufikiri na kuzani kuwa kuwa maskini ni mapenzi ya Mungu! Dhana hiyo Ndiyo yenye kutaka kuhalalisha uvivu!
 
Kila siku Tanga raha, Tanga raha, raha gani? Maneno mengi sana hawa watu, kazi yao kubwa vigodoro/baikoko, uvivu/umwinyi mwingi(wanaenda kuangalia football match na majamvi), vichwani wanawaza kugegedana muda wote(hasa kinyume cha maumbile), hamna kitu zaidi ya porojo tu za kusadikika.
Maduka wanafungua saa nne, saa sita wanafunga, wivu na ushirikina. Uswahili kwa sana, Hilo bomba litanufaisha wageni tu.
 
Msiifananishe Tanga na vitu vyakipuuzi ww unaesema Tanga kuna vibanda vya Nyasi ulifika tanga miaka ya 70.

Siku ukipata chance njoo Tanga ujekujionea Jiji letu lilivyo-endelea.

Home Sweet home.
 
Nawashauri ndugu zangu wa Bara Tanga sio sehemu salama ya kuchukua mke ila kama umefata cha kupoozea makali sawa ila wife material huku hakuna...... mimi binafsi nipo hapa tanga nimetokea moshi.
 
Back
Top Bottom