Tanga kwetu raha

Tanga kwetu raha

Kwa jinsi wanaume wakichaga mlivyotuabisha tunatamani kujitoa kwenye huo ukaskazini hata kesho,hivi kweli wanawake wanakimbia nchi jirani kutafuta muhogo kweli jamani
Wanatuaibisha sana hawa,km vp watupe wanawake zao,..... kama ndoa zajengwa na pesa sheikhe
Street 13 Bosnia cutting saloon ndio maskani .
Home Street 12.
Home sweet Home tupo huku ughaibuni kwa ajili ya kutafuta tu.
 
Okay nimekusikia mummy ake,ila mm nimewahi kuishi Handen kama mwaka hivi sikufichi toka nimezaliwa sijawahi kuona kuku mweupe ila kule karibu kila familia walikuwa na kuku mweupe na ukiuliza unaambiwa wa dawa,inshort nilichokiona kule vijana wengi wanaamini mambo ya kishirikina sana,unaweza kupishana na mtu kidogo tuu ila yy tayari anakuwa anakuwazia vibaya,

Nb:ila ni wakarimu saana,nilikaa kule mpaka mzee mmoja akaniomba waniozeshe binti kutokana na nilivyoishi nao ila na mm akili zangu zilikuwa bado sijielewi

Mkuu kule ungeanza kustawi kidogo tu Hata ungejaribu kulima shamba na mazao kumea basi hawapendi watakutafuta kukukomesha wakishindwa wanatumia "sakizi"
Bunduki inapigwa upande itakapoelekezwa ndiko utakapoelekea wakati wa kuondoka !
Utashangaa umeondoka gafla na ulikoenda wala hukutegemea kwenda!
 
Ukipigwa sakizi Yani unaondoka Wewe Kama Wewe na Nguo ulizovaa mwilini , utaacha kila kitu chako
 
Mkuu kule ungeanza kustawi kidogo tu Hata ungejaribu kulima shamba na mazao kumea basi hawapendi watakutafuta kukukomesha wakishindwa wanatumia "sakizi"
Bunduki inapigwa upande itakapoelekezwa ndiko utakapoelekea wakati wa kuondoka !
Utashangaa umeondoka gafla na ulikoenda wala hukutegemea kwenda!
Wazee wa kizigua akimiliki baiskeli,gobole na radio zile cassete za zamani basi anaona ameshamaliza yaan ni tajiri kwa hapo kijijini
 
Hivi kule Kwamsisi Siku hizi Mahakama zimeanza kufanya kazi?
Maana zamani ikishindikana kabisa Mahakimu kuishi kule na kufanya kazi!
 
Back
Top Bottom