mtabaki maskini hivohivyo nyie wacheza baikokoNyie matajiri mnaishi Dunia tofauti na yetu kwani? ila pamoja na majivuno yenu M/Mungu katuweza maana tajiri na masikini .....wote kunya
Mbona chuki imekujaa sana ndugu yangu shida nini kwani!mtabaki maskini hivohivyo nyie wacheza baikoko
mnafuga mno majiniMatusi ya nini tena, Njoo Tanga tukufundishe usaarabu. Watu wa Tanga hatukuzoea tabia kama izo. Muda wote ukitembea katika jiji letu hakuna vibaka wala majambazi, Tanga ndio sehemu salama ya kufanya biashara, na ndio sehemu salama yakuekeza, wauza chips wale wa balabalani wanauza hadi saa 10 usiku, muda wote ukiingia katika JIJI letu uhakika wakupata chakula upo, na hotels zote zipo wazi muda wote 24/7. Karibu sana Tanga.
Home Sweet Home.
sio chuki,nyie mnaaibisha kaskazn kwa uvivu wenuMbona chuki imekujaa sana ndugu yangu shida nini kwani!
Basi tulia sasa nadhani umeeleweka mkuusio chuki,nyie mnaaibisha kaskazn kwa uvivu wenu
Fula yanya mtombwa....Tanga Ndunia bwana ukimisikia mdigo akiwa anaongea ananipa raha sana, sasa ukutane na ubish wa msambaa hata kama hajui kitu utafurah wewe.
Kule maramba kuna wamakonde sana tena asili yao Tanga, nilishangaa sana
Tanga pazuri raskazone beach amboni cave saadani kote no tanga sio sehemu 2mhh wala sion uzur wa tanga hakuna hata pa kwenda kwa kweli zaid ya tanga beach na mkwabi bas mji mzima sehem mbili tu
sawaBasi tulia sasa nadhani umeeleweka mkuu
Mkuu wewe mwongo sana, Tanga ni jiji. Ulienda Sabasaba? Vp wale wamama wanaomwagilia maji keep left kwaminchi bado wanaendelea na ile adhabu?Nimegeuka Juzi home Tanga asee natatafuta Walau chemba nipige kitimoto na Maji safi kidogo wapi mji mzima bar unatafuta kwa Torch i hate Tanga, Kuzama mkwabi hii supermarket mpya Ndo nakutana na Maji safi nkanunua na kushusha na nyama ingine tu pale nje, Wakuu wapi ntapata nguruwe apa Tanga mjini?
Nini tena rafiki?

Hahaha wanaendelea mkuu japo mara moja moja nawapita wamesimama tu hawagilii na Nguo zao pendwa za Bendera yetu maridhawaMkuu wewe mwongo sana, Tanga ni jiji. Ulienda Sabasaba? Vp wale wamama wanaomwagilia maji keep left kwaminchi bado wanaendelea na ile adhabu?
Nakusalimia swahiba.![]()
mtoto wa Tanga best
Hahahaa. Muache tu amwage sumu yake. Sababu kaumia huyoooo.Basi tulia sasa nadhani umeeleweka mkuu