Yani watu wanapenda sana stress,nilikuwa namuona anaendeleza tu ligi bila hata sababuHahahaa. Muache tu amwage sumu yake. Sababu kaumia huyoooo.
Ila mtafute siku mkuu yeye muusifie Mkoa wake angalu atapata ahueni. Hahahaaa.

Nitakuwa huko wiki ijayo ebu tutambuane. Viwanja Ta bwerere.Hahaha wanaendelea mkuu japo mara moja moja nawapita wamesimama tu hawagilii na Nguo zao pendwa za Bendera yetu maridhawa
Kuna chimbo nimelifuma sahare huku ndio ninapokata maji nkishikwa na Kiu
Mkuu Daah tutapishana mimi Friday naondokaNitakuwa huko wiki ijayo ebu tutambuane. Viwanja Ta bwerere.
Hahahaa. Kazi anayo yaani kang'ang'ania kuponda tu hajajua wenye kuamini Tanga ni bora hata ukandie vipi haiwezi wabadilisha.Yani watu wanapenda sana stress,nilikuwa namuona anaendeleza tu ligi bila hata sababu![]()
Mkuu umenikumbusha mbali sana kuna siku nilienda kilindi kama miezi 6 sasa narudi usiku saa tatu nakuta zile sanam pale. Nikajua ni watu kweli kwasababu nilivyoondoka zilikua hknMkuu wewe mwongo sana, Tanga ni jiji. Ulienda Sabasaba? Vp wale wamama wanaomwagilia maji keep left kwaminchi bado wanaendelea na ile adhabu?
HAHAHAHAAAA kisaikolojia haujakaa sawa bora wangeweka moja ke nyingine me.Mkuu umenikumbusha mbali sana kuna siku nilienda kilindi kama miezi 6 sasa narudi usiku saa tatu nakuta zile sanam pale. Nikajua ni watu kweli kwasababu nilivyoondoka zilikua hkn
Nikajisemea moyoni
Kuna jamaa amenifurahisha na comment yake kwa kusema watu wa Tanga wavivu sana etiNini tena rafiki?![]()
Kuna jamaa amenifurahisha na comment yake kwa kusema watu wa Tanga wavivu sana eti
"Mtu anaenda uwanjan na mkeka kwaajili ya kulala anashindwa kusimama dk 90"etii ni kweli swahiba wangu?
.Hahahahah haya bhana swahiba,yaani nafuatilia comments za raia hapa sina mbavuHahahaa. Mie mwenyewe nilijikuta nacheka sana aiseee.
Sio kweli bana swahiba.![]()
![]()
![]()
.
Uvivu kila sehemu upo swahiba hivyo usiwasikilize hata.
Hahahaaa. Usiyatie akilini swahiba hayana ukweli hayo na kama yana ukweli ni kwa asilimia chache sana.Hahahahah haya bhana swahiba,yaani nafuatilia comments za raia hapa sina mbavu
Kaiacha Moshi kaiacha MwanzaMkuu hizo takwimu kuwa Tanga ni Jiji la tatu linalokuwa kwa kasi baada ya Dsm na Arusha umezipata wapi?
Home sweet home lakini sio kwa promo hizo. Hahaha
Okay nimekusikia mummy ake,ila mm nimewahi kuishi Handen kama mwaka hivi sikufichi toka nimezaliwa sijawahi kuona kuku mweupe ila kule karibu kila familia walikuwa na kuku mweupe na ukiuliza unaambiwa wa dawa,inshort nilichokiona kule vijana wengi wanaamini mambo ya kishirikina sana,unaweza kupishana na mtu kidogo tuu ila yy tayari anakuwa anakuwazia vibaya,Hahahaaa. Usiyatie akilini swahiba hayana ukweli hayo na kama yana ukweli ni kwa asilimia chache sana.
Umesikia eee.
Hahahaaa. Haya bana swahiba. Kumbe ulikuwa na ya moyoni halafu ukakosa pa kuyatoa.Okay nimekusikia mummy ake,ila mm nimewahi kuishi Handen kama mwaka hivi sikufichi toka nimezaliwa sijawahi kuona kuku mweupe ila kule karibu kila familia walikuwa na kuku mweupe na ukiuliza unaambiwa wa dawa,inshort nilichokiona kule vijana wengi wanaamini mambo ya kishirikina sana,unaweza kupishana na mtu kidogo tuu ila yy tayari anakuwa anakuwazia vibaya,
Nb:ila ni wakarimu saana,nilikaa kule mpaka mzee mmoja akaniomba waniozeshe binti kutokana na nilivyoishi nao ila na mm akili zangu zilikuwa bado sijielewi
Hahahahah,ila ni mwaka huu mambo yamegoma kuseto ila yangeenda kama nilivyopanga ningekuja kuumalizia mwaka Tanga mjini na viunga vyake napapenda sana kutokana na ukarimu wa wenyeji wa hapo,mara ya mwisho nimefika hapo 2014 mwishoni then nikaupokelea mwaka 2015 nikiwa hapo ila bhana tatizo la hapo kwa ss wanywaji sehemu za kutumia mpaka uzitafute kwa torchHahahaaa. Haya bana swahiba. Kumbe ulikuwa na ya moyoni halafu ukakosa pa kuyatoa.![]()
Ila hayo yalishapita bana hayapo tena siku hizi walio wengi wameelimika.
Tanga yote watoto ni wazuriTanga watoto wazuri wanapatikana wapi wakuu?
Nimepata salamu yako swahiba, natumai yu bukheri wa afyaNakusalimia swahiba.