zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 18,884
- 28,464
Hapana kuna mbinu zingine mfano kuondoa kodi kadhaa kwa kampuni ambazo zinaongeza thamani ya bidhaa kwa ajili ya kuuza nje. Na ndio uwepo wa EPZA upo kwa ajili hiyo, so issue sio umeme tu kma kuna kodi zingine zitaondolewa bado tunabaki competitive.Bidhaa zetu haziwezi kushindana na siko la nje kama tutaendwlea kuj8kita kwenye uzalishaji kwa ghalama kubwa ya umeme.
Kuna nchi kibao tu zinatoa export subsidies kwa kigezo cha Green Box!! So tunaweza kutumia hiyo kushusha bei za bidhaa zetu, maana siamini umeme ndio kila kitu.