Nadhani Mgawo wa umeme ni wa kutengeneza na TANESCO wahujumu uchumi

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
MASWALI MAGUMU KWA TANESCO NA SERIKALI YA CCM.

1.Miaka 5 ya Magufuli umeme haukukatika hovyo hovyo kama sasa, hayati alitoa wapi umeme?

2.Hivi TANESCO na CCM hamkujua ya kwamba mpaka kufikia 2024 population ya Tanzani itakua watu milion 62 na matumizi ya umeme yataongezeka? Long term plans zenu ziko wapi? Hakuna wasomi?

3.Wajumbe wa kamati ya miundombinu ya bunge wanalalamika kwenye Bwawa la Mtera hakuna maji pamoja na mafuriko ya mvua za sasa, nje ya mtera Mabwawa yamejaa maji watu mpaka watu wanalima mpunga, kwanini maji hayaingii bwawa la Mtera?

Ukilitazama tatizo la umeme nchini unaona ni la makusudi na la kutengenezwa na walafi wachache nchini. Kwani hata huo umeme wa maji wa bwawa la Mwalimu Nyerere JNHP sioni kama utaleta ufanisi hata kwa 50% kwa sababu kama tumeshindwa kusimamia vyanzo vidogo vya kuzalisha umeme unafikiri hiki chanzo kikuu kitawezekana?

Kama watu wachache hawataki umeme uwake kwa sasa na wananufaika na mgao huu, unafikiri watakubali JNHP izalishe umeme? Naibu Waziri mkuu Doto Biteko anesema haijulikani Mgao wa umeme utaisha lini, huu ndio ukweli na yeye amesema ukweli.

Kiukweli kabisa toka moyoni CCM kimeshindwa kutatua matatizo ya nchi hii, kulazimisha kusalia madarakani ni kuumiz raia bila sababu. Kama wameshindwa kumaliza tatizo la imeme zaidi ya miaka 60 ya Uhuru madarakani wanasalia kufanya nini? Wanasalia madarakani kujipamgia na kujigawia Posho tu hawana kazi.
 
Kiukweli kabisa toka moyoni CCM kimeshindwa kutatua matatizo ya nchi hii, kulazimisha kusalia madarakani ni kuumiz raia bila sababu. Kama wameshindwa kumaliza tatizo la imeme zaidi ya miaka 60 ya Uhuru madarakani wanasalia kufanya nini? Wanasalia madarakani kujipamgia na kujigawia Posho tu hawana kazi
 
Na bado hamjasema, mpaka mseme.

Laana iende kwa wote ambao hawakujali juhudi binafsi za Magufuli.
Kutwa kushinda kwenye mitandao kumtukana na kumuita dicteta.
Acha twende hivi hivi hii ngozi haina shukurani.
Acha wahuni wasio na huruma watubonde hadi akili zitukae sawa.
Tulitaka demokrasia, haya mama katupa.
Tulitaka rais mpole, haya Mungu katupa.
 
MASWALI MAGUMU KWA TANESCO NA SERIKALI YA CCM.

1.Miaka 5 ya Magufuli umeme haukukatika hovyo hovyo kama sasa, hayati alitoa wapi umeme?

2.Hivi TANESCO na CCM hamkujua ya kwamba mpaka kufikia 2024 population ya Tanzani itakua watu milion 62 na matumizi ya umeme yataongezeka? Long term plans zenu ziko wapi? Hakuna wasomi?

3.Wajumbe wa kamati ya miundombinu ya bunge wanalalamika kwenye Bwawa la Mtera hakuna maji pamoja na mafuriko ya mvua za sasa, nje ya mtera Mabwawa yamejaa maji watu mpaka watu wanalima mpunga, kwanini maji hayaingii bwawa la Mtera?

Ukilitazama tatizo la umeme nchini unaona ni la makusudi na la kutengenezwa na walafi wachache nchini. Kwani hata huo umeme wa maji wa bwawa la Mwalimu Nyerere JNHP sioni kama utaleta ufanisi hata kwa 50% kwa sababu kama tumeshindwa kusimamia vyanzo vidogo vya kuzalisha umeme unafikiri hiki chanzo kikuu kitawezekana?

Kama watu wachache hawataki umeme uwake kwa sasa na wananufaika na mgao huu, unafikiri watakubali JNHP izalishe umeme? Naibu Waziri mkuu Doto Biteko anesema haijulikani Mgao wa umeme utaisha lini, huu ndio ukweli na yeye amesema ukweli.

Kiukweli kabisa toka moyoni CCM kimeshindwa kutatua matatizo ya nchi hii, kulazimisha kusalia madarakani ni kuumiz raia bila sababu. Kama wameshindwa kumaliza tatizo la imeme zaidi ya miaka 60 ya Uhuru madarakani wanasalia kufanya nini? Wanasalia madarakani kujipamgia na kujigawia Posho tu hawana kazi.
Kama Serikali inawapa jibu kwamba Kuna uhaba wa umeme kulinganisha na mahitaji huelewi.

Kama unaambiwa hata baada ya uhaba kuisha ila katika katika haiwezi kuisha haraka Kwa sababu miundombinu ni chakavu hutaki.

Ni lini awamu ya 5 umeme ulikuwa haukatiki?

Conclusion ni kwamba ukisema wanahujumu sijui wamefanyaje Utajua mwenyewe.
 
MASWALI MAGUMU KWA TANESCO NA SERIKALI YA CCM.

1.Miaka 5 ya Magufuli umeme haukukatika hovyo hovyo kama sasa, hayati alitoa wapi umeme?

2.Hivi TANESCO na CCM hamkujua ya kwamba mpaka kufikia 2024 population ya Tanzani itakua watu milion 62 na matumizi ya umeme yataongezeka? Long term plans zenu ziko wapi? Hakuna wasomi?

3.Wajumbe wa kamati ya miundombinu ya bunge wanalalamika kwenye Bwawa la Mtera hakuna maji pamoja na mafuriko ya mvua za sasa, nje ya mtera Mabwawa yamejaa maji watu mpaka watu wanalima mpunga, kwanini maji hayaingii bwawa la Mtera?

Ukilitazama tatizo la umeme nchini unaona ni la makusudi na la kutengenezwa na walafi wachache nchini. Kwani hata huo umeme wa maji wa bwawa la Mwalimu Nyerere JNHP sioni kama utaleta ufanisi hata kwa 50% kwa sababu kama tumeshindwa kusimamia vyanzo vidogo vya kuzalisha umeme unafikiri hiki chanzo kikuu kitawezekana?

Kama watu wachache hawataki umeme uwake kwa sasa na wananufaika na mgao huu, unafikiri watakubali JNHP izalishe umeme? Naibu Waziri mkuu Doto Biteko anesema haijulikani Mgao wa umeme utaisha lini, huu ndio ukweli na yeye amesema ukweli.

Kiukweli kabisa toka moyoni CCM kimeshindwa kutatua matatizo ya nchi hii, kulazimisha kusalia madarakani ni kuumiz raia bila sababu. Kama wameshindwa kumaliza tatizo la imeme zaidi ya miaka 60 ya Uhuru madarakani wanasalia kufanya nini? Wanasalia madarakani kujipamgia na kujigawia Posho tu hawana kazi.
Tunapoambiwa nchi hii imebinafsishwa kila kitu msidhani uongo sasa afadhali kubinafsishwa wakati mwingine kunatija ila ukiuza unakuwa mtumwa wewe kuna wstu wanafaidika kws matrlioni kwenye maswala ya umeme kunamashirika makubwa tu ya watu wanakula kuku IPTL cha mtoto ukigusa ulaji W watu unaweza ukaliwa nyama. Hii yote inatokana na sera zetu mbovu za uwekezaji. CDM wasidhani wakipileka vijkaratasi vyao UN watapata majibu yoyote kunawakubwa wapo ulimwenguni wanatuchora tu tukiwaya waya wakiona tulia njaa sana wanatukopesha kama trilion tatu njaa inapungua kidogo, tunajisahau kisha baada ya mda tunaanza kulia tena wakati huo wao wameshatengeniza trilioni 40. Wana waskopesha tena trilioni tano. Mnapumbazika kwa mda mfupi wao wanahomola. Vita ya kiuchumi ni ngumu sana tumekwisha nasa kwenye mitego yawkubwa sisi tutulie tu. Yaani tunyolewe bila kutiwa maji.
 
MASWALI MAGUMU KWA TANESCO NA SERIKALI YA CCM.

1.Miaka 5 ya Magufuli umeme haukukatika hovyo hovyo kama sasa, hayati alitoa wapi umeme?

2.Hivi TANESCO na CCM hamkujua ya kwamba mpaka kufikia 2024 population ya Tanzani itakua watu milion 62 na matumizi ya umeme yataongezeka? Long term plans zenu ziko wapi? Hakuna wasomi?

3.Wajumbe wa kamati ya miundombinu ya bunge wanalalamika kwenye Bwawa la Mtera hakuna maji pamoja na mafuriko ya mvua za sasa, nje ya mtera Mabwawa yamejaa maji watu mpaka watu wanalima mpunga, kwanini maji hayaingii bwawa la Mtera?

Ukilitazama tatizo la umeme nchini unaona ni la makusudi na la kutengenezwa na walafi wachache nchini. Kwani hata huo umeme wa maji wa bwawa la Mwalimu Nyerere JNHP sioni kama utaleta ufanisi hata kwa 50% kwa sababu kama tumeshindwa kusimamia vyanzo vidogo vya kuzalisha umeme unafikiri hiki chanzo kikuu kitawezekana?

Kama watu wachache hawataki umeme uwake kwa sasa na wananufaika na mgao huu, unafikiri watakubali JNHP izalishe umeme? Naibu Waziri mkuu Doto Biteko anesema haijulikani Mgao wa umeme utaisha lini, huu ndio ukweli na yeye amesema ukweli.

Kiukweli kabisa toka moyoni CCM kimeshindwa kutatua matatizo ya nchi hii, kulazimisha kusalia madarakani ni kuumiz raia bila sababu. Kama wameshindwa kumaliza tatizo la imeme zaidi ya miaka 60 ya Uhuru madarakani wanasalia kufanya nini? Wanasalia madarakani kujipamgia na kujigawia Posho tu hawana kazi.
Utamsikia Chalamila anasema tuitumie nafasi ya kutokuwepo umeme kujilinda na starehe
 
MASWALI MAGUMU KWA TANESCO NA SERIKALI YA CCM.

1.Miaka 5 ya Magufuli umeme haukukatika hovyo hovyo kama sasa, hayati alitoa wapi umeme?

2.Hivi TANESCO na CCM hamkujua ya kwamba mpaka kufikia 2024 population ya Tanzani itakua watu milion 62 na matumizi ya umeme yataongezeka? Long term plans zenu ziko wapi? Hakuna wasomi?

3.Wajumbe wa kamati ya miundombinu ya bunge wanalalamika kwenye Bwawa la Mtera hakuna maji pamoja na mafuriko ya mvua za sasa, nje ya mtera Mabwawa yamejaa maji watu mpaka watu wanalima mpunga, kwanini maji hayaingii bwawa la Mtera?

Ukilitazama tatizo la umeme nchini unaona ni la makusudi na la kutengenezwa na walafi wachache nchini. Kwani hata huo umeme wa maji wa bwawa la Mwalimu Nyerere JNHP sioni kama utaleta ufanisi hata kwa 50% kwa sababu kama tumeshindwa kusimamia vyanzo vidogo vya kuzalisha umeme unafikiri hiki chanzo kikuu kitawezekana?

Kama watu wachache hawataki umeme uwake kwa sasa na wananufaika na mgao huu, unafikiri watakubali JNHP izalishe umeme? Naibu Waziri mkuu Doto Biteko anesema haijulikani Mgao wa umeme utaisha lini, huu ndio ukweli na yeye amesema ukweli.

Kiukweli kabisa toka moyoni CCM kimeshindwa kutatua matatizo ya nchi hii, kulazimisha kusalia madarakani ni kuumiz raia bila sababu. Kama wameshindwa kumaliza tatizo la imeme zaidi ya miaka 60 ya Uhuru madarakani wanasalia kufanya nini? Wanasalia madarakani kujipamgia na kujigawia Posho tu hawana kazi.
Utamsikia Chalamila anasema tuitumie nafasi ya kutokuwepo umeme kujilinda na starehe
 
Na bado hamjasema, mpaka mseme.

Laana iende kwa wote ambao hawakujali juhudi binafsi za Magufuli.
Kutwa kushinda kwenye mitandao kumtukana na kumuita dicteta.
Acha twende hivi hivi hii ngozi haina shukurani.
Acha wahuni wasio na huruma watubonde hadi akili zitukae sawa.
Tulitaka demokrasia, haya mama katupa.
Tulitaka rais mpole, haya Mungu katupa.
Watu siyo hawakujali juhudi za magufuli ila tumefika kwenye hizi shida zote kwa ajili yake. Mipango ilikuwa imewekwa vizuri ya uzalishaji wa umeme wa Gesi yeye akaanzisha mradi mwingine wa matrlioni wa Bwawa la Mwalimu Nyerere na mipango yote iliyoluwa imewekwa na wenzake akaiweka pembeni. Unaunakuta sababu kubwa ni maswala ya ulaji tu na wana si maswala ya uzalendo. Mimi kiasi fulani namuunga Mkono Mama Samia ni Mtu anaye sikiliza ushauri na tena anawashauri wazuri. Naamini kwa mipango yake tatizo la umeme litakwisha mda si mrefu. Ila Tanesco na TPDC wajipange vizuri kiusimamizi kwanni wao ndiyo kiin na chimbuko cha hali hii. Katibu na waziri wa wizara ya Nishati ni watu waaadilifu sana na waelewa wazuri wa maswala ya nishati. naamini watatuvusha salama katika kipindi hiki ki,gumu wizara zote zingewekwa viongozi wa sampuli hii wala nchi hii isingefika katika halingumu hii ya maisha,hii nchi shida zote zingeisha baada ya kipindi kifupi sana. Mimi ni seme ingawa CCM ni ileile ila kwa kiasi fulani mama anajitahidi. Mifumo ya utendaji kazi kweli ni mibovu ila ukiweza kudhibiti mapato yasi vurugwe na wezi wakubwa mapapa umefanikiwa kujenga nchi yenye uchumi imara Na kwahilo mama anaweza kwa asilimia kubwa. Swala la kupanda kwa hali ngumu ya maisha ni swala linalitakiwa kufanyiwa mikakati endelevu. Tuimarishe kilimo chetu ambacho ndicho kinawapatia ajira aslimia 75 ya Watanzania na kuimarisha vyama vya ushirika ambavyo ndiyo nguzo kubwa ya maendeleo ya wakulima. Tuwekeze katika kunyanyua kilimo kuliko kunyanyua Wabunge.
 
Kama Serikali inawapa jibu kwamba Kuna uhaba wa umeme kulinganisha na mahitaji huelewi.

Kama unaambiwa hata baada ya uhaba kuisha ila katika katika haiwezi kuisha haraka Kwa sababu miundombinu ni chakavu hutaki.

Ni lini awamu ya 5 umeme ulikuwa haukatiki?

Conclusion ni kwamba ukisema wanahujumu sijui wamefanyaje Utajua mwenyewe.
Sipendi sana Personalities lakini wewe naona huelewi na yawezekana hujasoma kabisa kilichoandikwa umekimbilia kusoma heading tu.

Umeulizwa hivi.... TANESCO hawakujua ya kwamba 2024 Population itakua ni watu zaidi ya milioni 62? Hawakujua kua mahitaji ya umeme yataongezeka? Short and Long term plans za kutatua tatizo hili zaudi ya miaka 60 za uhuru zipoje?
Halafu, Wakati wa hayati Magufuli hata kama umeme ulikatika lakini shida haikua kubwa kama ya Sasa.

Kwanini tu unaishi na Tatizo hili la umeme muda mrefu kiasi hiki? Thinktanks wa taifa hakuna wa kutatua matatizo? Watu mifumo nao wanalisaidiaje taifa kwemye shida kama hii? Wanamshauri nini kiongozi wa nchi?
Au Idara za Usalama ni kuangalia mikutanao ya kisiasa na wahamiaji haramu? Hatujui kua umeme unahusika kwemye Usalama wa taifa hili?
 
MASWALI MAGUMU KWA TANESCO NA SERIKALI YA CCM.

1.Miaka 5 ya Magufuli umeme haukukatika hovyo hovyo kama sasa, hayati alitoa wapi umeme?

2.Hivi TANESCO na CCM hamkujua ya kwamba mpaka kufikia 2024 population ya Tanzani itakua watu milion 62 na matumizi ya umeme yataongezeka? Long term plans zenu ziko wapi? Hakuna wasomi?

3.Wajumbe wa kamati ya miundombinu ya bunge wanalalamika kwenye Bwawa la Mtera hakuna maji pamoja na mafuriko ya mvua za sasa, nje ya mtera Mabwawa yamejaa maji watu mpaka watu wanalima mpunga, kwanini maji hayaingii bwawa la Mtera?

Ukilitazama tatizo la umeme nchini unaona ni la makusudi na la kutengenezwa na walafi wachache nchini. Kwani hata huo umeme wa maji wa bwawa la Mwalimu Nyerere JNHP sioni kama utaleta ufanisi hata kwa 50% kwa sababu kama tumeshindwa kusimamia vyanzo vidogo vya kuzalisha umeme unafikiri hiki chanzo kikuu kitawezekana?

Kama watu wachache hawataki umeme uwake kwa sasa na wananufaika na mgao huu, unafikiri watakubali JNHP izalishe umeme? Naibu Waziri mkuu Doto Biteko anesema haijulikani Mgao wa umeme utaisha lini, huu ndio ukweli na yeye amesema ukweli.

Kiukweli kabisa toka moyoni CCM kimeshindwa kutatua matatizo ya nchi hii, kulazimisha kusalia madarakani ni kuumiz raia bila sababu. Kama wameshindwa kumaliza tatizo la imeme zaidi ya miaka 60 ya Uhuru madarakani wanasalia kufanya nini? Wanasalia madarakani kujipamgia na kujigawia Posho tu hawana kazi.

View: https://www.instagram.com/reel/C3kgfoHKmrV/?igsh=OGFlZHFnM2Q5ZDdi
 
Umeme, sukari, elimu, madarasa, madawati, afya, madaraja, umasikkni, upotevu wa dollar, mazingira magumu ya biashara, kodi juu, ushuru lukuki etc, etc. You name them.
 
Kiukweli kabisa toka moyoni CCM kimeshindwa kutatua matatizo ya nchi hii, kulazimisha kusalia madarakani ni kuumiz raia bila sababu. Kama wameshindwa kumaliza tatizo la imeme zaidi ya miaka 60 ya Uhuru madarakani wanasalia kufanya nini? Wanasalia madarakani kujipamgia na kujigawia Posho tu hawana kazi
Nani apewe nchi bila kueleza mikakati thabiti ya kuondokana na haya matatizo. Kukosoa ni rahisi kuliko kujenga hoja ukumbuke kwetu watanzania
 
MASWALI MAGUMU KWA TANESCO NA SERIKALI YA CCM.

1.Miaka 5 ya Magufuli umeme haukukatika hovyo hovyo kama sasa, hayati alitoa wapi umeme?

2.Hivi TANESCO na CCM hamkujua ya kwamba mpaka kufikia 2024 population ya Tanzani itakua watu milion 62 na matumizi ya umeme yataongezeka? Long term plans zenu ziko wapi? Hakuna wasomi?

3.Wajumbe wa kamati ya miundombinu ya bunge wanalalamika kwenye Bwawa la Mtera hakuna maji pamoja na mafuriko ya mvua za sasa, nje ya mtera Mabwawa yamejaa maji watu mpaka watu wanalima mpunga, kwanini maji hayaingii bwawa la Mtera?

Ukilitazama tatizo la umeme nchini unaona ni la makusudi na la kutengenezwa na walafi wachache nchini. Kwani hata huo umeme wa maji wa bwawa la Mwalimu Nyerere JNHP sioni kama utaleta ufanisi hata kwa 50% kwa sababu kama tumeshindwa kusimamia vyanzo vidogo vya kuzalisha umeme unafikiri hiki chanzo kikuu kitawezekana?

Kama watu wachache hawataki umeme uwake kwa sasa na wananufaika na mgao huu, unafikiri watakubali JNHP izalishe umeme? Naibu Waziri mkuu Doto Biteko anesema haijulikani Mgao wa umeme utaisha lini, huu ndio ukweli na yeye amesema ukweli.

Kiukweli kabisa toka moyoni CCM kimeshindwa kutatua matatizo ya nchi hii, kulazimisha kusalia madarakani ni kuumiz raia bila sababu. Kama wameshindwa kumaliza tatizo la imeme zaidi ya miaka 60 ya Uhuru madarakani wanasalia kufanya nini? Wanasalia madarakani kujipamgia na kujigawia Posho tu hawana kazi.
Mwamba alishasema wanayafungulia maji !!
Au labda kwa sasa maji yanachepushwa !
Lengo ni lile lile !
No maji No umeme !!
Mtanikumbuka kwa yale mazuri sio kwa yale mabaya !! 🙏🙏
 
Na bado hamjasema, mpaka mseme.

Laana iende kwa wote ambao hawakujali juhudi binafsi za Magufuli.
Kutwa kushinda kwenye mitandao kumtukana na kumuita dicteta.
Acha twende hivi hivi hii ngozi haina shukurani.
Acha wahuni wasio na huruma watubonde hadi akili zitukae sawa.
Tulitaka demokrasia, haya mama katupa.
Tulitaka rais mpole, haya Mungu katupa.
Tena inabidi mgao uwe mkali zaidi hadi akili za watanzania wote zifunguke.
 
Plan watoe wapi hawa unaowaita wasomi?
Makanjanja mnawaita wataalamu
Hawa wameamua kuwamaliza kiakili na kiuchumi pia

Vifaa vya umeme wanaunguza kila leo na hawajali
Wengi wamepata hasara na hakuna watetezi kazi kuandamana tu
Wakaandamane Tanesco wapige kambi kabisa hata siku 10
 
MASWALI MAGUMU KWA TANESCO NA SERIKALI YA CCM.

1.Miaka 5 ya Magufuli umeme haukukatika hovyo hovyo kama sasa, hayati alitoa wapi umeme?

2.Hivi TANESCO na CCM hamkujua ya kwamba mpaka kufikia 2024 population ya Tanzani itakua watu milion 62 na matumizi ya umeme yataongezeka? Long term plans zenu ziko wapi? Hakuna wasomi?

3.Wajumbe wa kamati ya miundombinu ya bunge wanalalamika kwenye Bwawa la Mtera hakuna maji pamoja na mafuriko ya mvua za sasa, nje ya mtera Mabwawa yamejaa maji watu mpaka watu wanalima mpunga, kwanini maji hayaingii bwawa la Mtera?

Ukilitazama tatizo la umeme nchini unaona ni la makusudi na la kutengenezwa na walafi wachache nchini. Kwani hata huo umeme wa maji wa bwawa la Mwalimu Nyerere JNHP sioni kama utaleta ufanisi hata kwa 50% kwa sababu kama tumeshindwa kusimamia vyanzo vidogo vya kuzalisha umeme unafikiri hiki chanzo kikuu kitawezekana?

Kama watu wachache hawataki umeme uwake kwa sasa na wananufaika na mgao huu, unafikiri watakubali JNHP izalishe umeme? Naibu Waziri mkuu Doto Biteko anesema haijulikani Mgao wa umeme utaisha lini, huu ndio ukweli na yeye amesema ukweli.

Kiukweli kabisa toka moyoni CCM kimeshindwa kutatua matatizo ya nchi hii, kulazimisha kusalia madarakani ni kuumiz raia bila sababu. Kama wameshindwa kumaliza tatizo la imeme zaidi ya miaka 60 ya Uhuru madarakani wanasalia kufanya nini? Wanasalia madarakani kujipamgia na kujigawia Posho tu hawana kazi.

Timu iliyokuwa nishati wakati wa jiwe irejeshwe kazini twafa na tai shingoni
 
Na bado hamjasema, mpaka mseme.

Laana iende kwa wote ambao hawakujali juhudi binafsi za Magufuli.
Kutwa kushinda kwenye mitandao kumtukana na kumuita dicteta.
Acha twende hivi hivi hii ngozi haina shukurani.
Acha wahuni wasio na huruma watubonde hadi akili zitukae sawa.
Tulitaka demokrasia, haya mama katupa.
Tulitaka rais mpole, haya Mungu katupa.
hahahaha inafurahisha sana hii...Demokrasia washapewa, uhuru wa kuropoka upo waache mama afanye kazi sasa 😂😂😂
 
Back
Top Bottom