kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,352
- 7,116
Mikataba ya ovyo ya awamu ya nne. Inawezekana tuliwapa visima viwe vyao. Kwa hivyo kuna siku watasema hawatuuzii wanauza hukohuko baharini.Gesi ni yetu wenyewe lakini tunauziwa kwa gharama Sasa tuna manufaa gani hii maliasili?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app