TANESCO tunataka majibu ya tuhuma kuhusu udini

TANESCO tunataka majibu ya tuhuma kuhusu udini

Kumbe Tanesco wameigeuza kama Dayosisi ndio maana umeme ni wa Tabu????

Lol kwa Kweli Umeme wa Tabu tangu Uhuru, wasomi wetu fake wameshindwa kabisa, enzi za JKN, BWM akaleta wasauzi Afrika, JPM so far hatuna cha kusema. Hivi hii hoja ya kuwa wamesoma wanaitendea haki kweli? Kwa maana nyingine wanakubali kuwa usomi wao kwa miaka 50+ imeifanys Tz kuwa masikini na ombaomba kupita maelezo, au kwao usomi ni show off tu, maana hata tulionao maofisini ni majanga, kazi hawajui mwendo wa michango ya harusi za Bajeti ya M 25
 
ukristo=ufisadi, rushwa ,mauji ya vikongwe, ulevi, kutembea uchi, wizi, ushoga, nk
Nchi inayoongoza duniani kwa ushoga ni Saudi Arabia. Nchi yenye mahanithi wengi ulimwenguni ni Saudi Arabia. Weekend mamilioni ya Wasaudia wanamiminika Bahrain ili kupat ile kitu roho napenda i.e Whiskies (alcohol) na hii inaeleweka kwa sababu makazi ya Shetani ni Saudi Arabia na anapigwa kila mwaka hafii lakini akiamua kuwarudi anaua maelfu. Be informed!
 
Hebu tuanze na wachagga,Haya(washomire)na Nyakyusas(kina mwa mwa) halafu tumalizie na kina Ngosha.....Huko visiwani hakuna shaka tatizo ni uarabu.
 
Waislamu waliosoma ni wachache sana... Hivyo uwiano hauwezi kiwa sawa


Hii nayo ni point? Unajudanganya sna!

Pia kwa kauli zako zinazihirisha kufellishwa waislamu ktk mitihan yao ili huo uwiano usiwepo mkibanwa mje kutoa kauli hizo hapo juu
Nimesoma na waislam mashulen na weng wana akili kama wakristo kwa nn kwenda elimu ya juu zinaanza figisu figusu?
 
KIKWETE ALIKUWA MKRISTO.MWINYI ALIKUWA MKRISTO PIA.NA WAKAWAPENDELEA WAKRISTO WENZAO.!
 
Hii serikali ya sasa kweli ni kigango embu katizame hawa wakuu wa mikoa wapya aliyewateuwa mtumbua majipu.
Nchi hii ukitaka uwonekane msomi umepewa nafasi bila ya kubebwa lazima uwe mkristo A.K.A kafili mgalatia ila akiwa muislam na nimsomi kinachonekana ni udini.
 
Hivi kwanini tusikubali kuwa mashirika yote 2 yamejaa udini kitu ambacho sikizuri, kama ni tanesco wameajiri kwa udini na nssf wameajiri kwa udini, ila sehemu nyingine ajira zinatolewa kwa kujuana ndo maana dini moja inaibuka kidedea
 
huyu taaban kamusoko ni hatari mnooo daaah wachezaji kama huyu wakipatikana watano tu Tanzania itapaaa huyu anaichezea kagera sugar au ndanda fc?
 
Tanesco ni mojawapo ya taasisi ambayo watendaji wake inabidi wawe na right technical background.

Hivyo ningekushauri ulieanzisha uzi uende mbali kidogo na kuangalia ikiwa kuna waislamu wameachwa lakini wana the right technical qualifications kwa hizo positions.

Au ukitaka kupata picha, nenda pale UDSM electrical engineering mwaka wa tatu na nne, uliza majina ya wanafuzi wanaosomea electrical engineering, halafu linganisha walio waislamu na walio wakristo. Labda hapo tutaanza kuona lojiki ya thread yako.

Tanesco sio NSSF ambapo mtu yeyote anaweza kuwa meneja na bado shirika likaenda tu. Watu lazima wawe na sifa zinazostahili.
 
Alianza kwa kuteua Makatibu wakuu na wakuu wa mashirika ... akina Rished Bade wakatumbuliwa bila kosa ... Sasa bila aibu jamaa ameamua kuweka wakatoliki kila kona ... Kigango cha BAKWATA kimyaa ...
 
Leo mnatuona tunapiga kelele na kututukana kuwa hatujasoma na yule JK kuwa alitubeba, bila aibu wala haya sisemi soni, sasa pakichafuka wakumlaumi atakuwa nani?
 
Hivi nyie magalatia mkisema eti walioteuliwa hapo kigezo ni elimu na mmesoma sana, Sasa kwanini toka uhuru nusu karne sasa umeme ni washida mpaka leo ni usomi gani mlionao kama si kubwebwabwebwa toka mkiwa shule kwa kupewa matokeo sio yenu
 
Dah, hii yako ainiingii akilini.

What about NSSF?
Wala sita shangaa mtu anaye ongozwa na kuamini hisia zake kutoelewa na hata hivyo hulazimishwi kuelewa nssf nini? aliyo yafanya ni madogo? wengine mna fuata upepo tu hamna mnalo jua.
 
Hapa elimu tuu, umeme hauitaji misahafu, kama huamini shika msahafu alafu kaume nyaya za umeme
 
Tanesco ni mojawapo ya taasisi ambayo watendaji wake inabidi wawe na right technical background.

Hivyo ningekushauri ulieanzisha uzi uende mbali kidogo na kuangalia ikiwa kuna waislamu wameachwa lakini wana the right technical qualifications kwa hizo positions.

Au ukitaka kupata picha, nenda pale UDSM electrical engineering mwaka wa tatu na nne, uliza majina ya wanafuzi wanaosomea electrical engineering, halafu linganisha walio waislamu na walio wakristo. Labda hapo tutaanza kuona lojiki ya thread yako.

Tanesco sio NSSF ambapo mtu yeyote anaweza kuwa meneja na bado shirika likaenda tu. Watu lazima wawe na sifa zinazostahili.
Wakristo wana roho mbaya, ila yako imezidi, chuki inakufanya hata ushindwe kufikiri
 
Wakristo wana roho mbaya, ila yako imezidi, chuki inakufanya hata ushindwe kufikiri

Kama kwa maoni yako roho nzuri ni kuteua watu wasio na sifa kwa sababu tu ni waislamu basi wewe ni mtu wa kuhurumiwa sana, na sintashangaa nikisikia umejiunga na IS au El Shabab, maana wanatafuta sana watu kama wewe wasio na uwezo wa kufikiri nje ya utando wa kidini. The easy-to-brainwash type.
 
Kwanza Kuna dini nyingi zaidi ya ukristo na uislam, pili hao wakristo na waislam umeangalia majina tu au umethibitisha vp uislam na ukristo wao? Kwa sababu kama hoja ni uislam haswaa basi uislam sio jina wako Kina Adam, Ally, Said n.k ambao ni wapagani. Kwa majina ya kikristo pia ni hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom