TANESCO tunataka majibu ya tuhuma kuhusu udini

TANESCO tunataka majibu ya tuhuma kuhusu udini

Ratio ya wakristo na waislamu wasomi ni ngapi?.... Labda tuanzie hapo kwanza
Usomi upi unaozumgumzia? Labda niambie nafasi ipi ambayo Mkirsto anayo ambayo Muislam hana?

Halafu nifahamishe hao wasomi Wakirsto waliojaa serikalini wamelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye dimbwi la umasikini?

Nasubiri majibu tuendelee na mnakasa.
 
Toka nizaliwe toka tumboni mwa mama yangu na kuwa mtu mzima sijawahi kumshambulia mtu au kumwazia vibaya kwa sababu ya dini au dhehebu lake, hata huyo Dau unaemzungumzia sijawahi kumzungumzia lolote.
Hivi wewe Nyemanze hufikiri ni kwanini ALLAH hafikiri kuhusu uwepo wa watu wa dini fulani mahali fulani kama kweli ni kosa Allah angekuwa ameshawaadhibu kwa kuwanyanyapaa watu wake. Wewe ni nani uhukumu tena kwa takwimu zako uchwara.

Naona Leo mmeguswa wagalatia,ALLAH nyi simnamkataaga,?? Leo vipi tena imekuaje
 
Kundi la Wakirsto wakiwa sehemu moja uwa hamna sababu za udini wanasema ni wasomi lakini Waislam wakiwa watu sehemu moja tuambiwa ni udini daah!

Nimeona hizo orodha wamejaa wagalatia watupu utadhani ofisi za serikali ni vigango vya Kanisa.

Mods tunaomba tu huu uzi muutendee haki kama mlivyotendea haki uzi wa NSSF na Dr.Dau na udini.

Wakirsto wa Tanzania wana roho mbaya sana pamoja na usomi wao wanaojitapia wamejaa serikalini lakini nchi bado masikini kazi kufanya ufisadi tu.

ust asalam aleikum!
Toka lini Ukristo ni deen?
hahahahahaa
 
kama waislamu walikuwa na elimu waka ajiriwa nssf,watakosekanaje wa kuajiriwa tanesco?

Hawajaomba walikuwa busy jamii forum wakilalamikia wakristo kupata ajira TANESCO,

Endeleeni kulalamika sisi tunapiga kazi tu.
 
Watu wanaacha kusoma tangu wakiwa wadogo wanaangaika na vitabu vya mtume halafu Leo anasema hakuna ajira
Mawazo ya kale na ya kijinga

Nyie mliosoma mmeongoza kila sehemu nchi hii tangu uhuru
Matokeo
Tanganyika nchi maskini kuliko zote in the entire known universe

Akili ya nguruwe
 
Usomi upi unaozumgumzia? Labda niambie nafasi ipi ambayo Mkirsto anayo ambayo Muislam hana?

Halafu nifahamishe hao wasomi Wakirsto waliojaa serikalini wamelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye dimbwi la umasikini?

Nasubiri majibu tuendelee na mnakasa.

Nijibu kabla sijakutumbua jipu?
Toka lini Ukristo ni deen?
 
Kwani kula nguluwe dhambi? Mbona na nyie mnakula bana

Hamna muislam anaekula mnyama ambae M/mungu amemuharamisha na kumuita ni uchafu(najisi),,,,naona Leo mmeshikwa pabaya wagalatia, mlivyokuwa mnamshupalia mzee wa watu watu kuwa NSSF kaigeuza msikiti,,,Leo mnang'aka naona
 
Wagalatia mnasema NSSF kumejaa udini bila ushahidi mmewekewa ushahidi mnalivyojaa serikalini mnasema siyo udini ni wasomi daah!! Ina maana hamna Waislam Tanzania nzima wanaweza kushika hizo nafasi hii nchi tunapolekea si kuzuri ipo siku kitanuka.
 
Kundi la Wakirsto wakiwa sehemu moja uwa hamna sababu za udini wanasema ni wasomi lakini Waislam wakiwa watu sehemu moja tuambiwa ni udini daah!

Nimeona hizo orodha wamejaa wagalatia watupu utadhani ofisi za serikali ni vigango vya Kanisa.

Mods tunaomba tu huu uzi muutendee haki kama mlivyotendea haki uzi wa NSSF na Dr.Dau na udini.

Wakirsto wa Tanzania wana roho mbaya sana pamoja na usomi wao wanaojitapia wamejaa serikalini lakini nchi bado masikini kazi kufanya ufisadi tu.

Umeongea point mkuu,tukiweka pembeni tofauti zetu za kisiasa,,kwa nnavyohisi,uhuu Uzi watautoa Mod muda simrefu
 
Nijibu kabla sijakutumbua jipu?
Toka lini Ukristo ni deen?
Mimi sipo hapa kukujibu wewe punguani mimi nipo hapa kuangalia wagalatia walivyojaa serikalini wanafanya ufisadi nchi inazidi kuwa masikini kila kukicha.
 
NSSF IKIFIKA IJUMAA TU WOTE WAFANYAKAZI WAJIPIGILIA KANZU NA BAIBUI PAMOJA NA IJABU
 
Nasikitika sana kuwa mambo ya udini na ukabila yanapaliliwa sana na watu walioenda shule. Kama hali hii haitadhibitiwa itakuwa janga la Taifa huko mbeleni. Tulieenda shule tuwe mstari wa mbele kupinga mbegu zozote za ubaguzi katika ajira. Watu wapewe kazi kutokana na sifa na uwezo na si kwa kuwa anatoka dini fulani au kabila fulani.

Nyi wagalatia ndio mmeyataka haya,mmemsakama Sana yule mzee aliekuwa NSSF kuwa ni mdini_,kumbe mlikuwa na ajenda zenu
 
Donald Trump anaendelea kuongoza kura za maoni, lakini nje maRepublican wanajifanya hawamtaki, ukweli he is representing the majority of Republicans and US at large,
Same kwa izi threads za udini hapa jf, wanaochangia wanaonesha yaliyomo mioyoni mwao ila hata ukisalimiana naye wakati anapost hatokuonesha kama ni mnazi wa dini fulani.
 
Back
Top Bottom