Franco Zetta
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 1,661
- 843
Hivi kwani umeme una patikana kwa watu wa dini gani tu na ipi wanao ukosa? na unapo kosekana ni dini gani wana ukosa na ipi wana kuwa nao muda wote kwasababu tu mameneja wa dini flani ni wengi? tuji tizame katika upatikanaji maana ubaguzi wowote katika upatikanaji wa huduma muhimu ndio tatizo,kama Mungu huwa angazia jua na kuwanyeshea mvua hata wachawi,wauaji na majizi bila ubaguzi, kinacho tafutwa hapo ni nini na ili iweje? yaani iwe sasa mkubwa flani aki haribu aachwe tu kwasababu ni wa dini flani na kina flani wata piga kelele,iko sawa hiyo?