TANESCO tunataka majibu ya tuhuma kuhusu udini

TANESCO tunataka majibu ya tuhuma kuhusu udini

Kama manavyojua NSSF imekuwa ikituhumiwa kuwa inaudini na kuna threads nyingi sana zinazungumzia hizo tuhuma kama huu uzi hapa chini. Ajabu hakuna aliyeleta ushidi wowote kuthibitisha tuhuma hizo

NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

Sasa kuna hizi tuhuma za udini TANESCO na kwa Jamiiforums style nawapa na Ushaidi huu hapa:

View attachment 329206

View attachment 329207

hivi kwa jina tu ndio ushadidi wa mwenye jina ni deen fulani?
afu mnasemaga watu wote ni maislamu... Mimi mbona naitwa mgen nitajie deen yangu
acha kuchekesha wewe?
 
We nguruwe ina maana waislamu walioajiriwa NSSF hawana qualifications??? pimbi kweli wewe, hadi leo unakuja na zilezile sound kuwa waislam hawajasoma, umefanya utafiti ukajiridhisha kuwa hawapo wenye qualifications, acheni roho mbaya! ina maana kitendo tu cha kuwa mkristo ni lazima uwe na chuki dhidi ya waislamu? hili li dini lenu ndo maana linazidi kukimbiwa na waumini, halina maana yoyote duniani, naona mmeachiwa miafrika muhangaike nalo
mbona povu linakutoka hivyo kaka punguza hasira weka hoja mezani
 
Aisee we acha, wamekaa kumshupalia DAU wa NSSF ,kumbe walikuwa wanamuandama kwa dini yake tu


Fatilia Baraza la Mawaziri


Fatilia Makatibu wakuu


Fatilia maRPC


Utajua hii nchi ni ya Kanisa.
 
Najua ni ujinga kuzungumzia masuala ya dini ktk taasisi za umma ila ni uhayawani kabisa kufumbia macho na kujitia vipofu na viziwi kuyachukulia hatua huu upuuzi wa watu wa dini moja kujazana ktk nafasi za juu!!

Tanzania ina dini nyingi mbona, sawa mnasema bila research eti waislam hawajasoma, Je wapagani nao pia hawajasoma?

Lazima paangaliwe hapa, na atakaeona kuwa hili si tatizo nahisi atakua ni hayawani!!
 
Kundi la Wakirsto wakiwa sehemu moja uwa hamna sababu za udini wanasema ni wasomi lakini Waislam wakiwa watu sehemu moja tuambiwa ni udini daah!

Nimeona hizo orodha wamejaa wagalatia watupu utadhani ofisi za serikali ni vigango vya Kanisa.

Mods tunaomba tu huu uzi muutendee haki kama mlivyotendea haki uzi wa NSSF na Dr.Dau na udini.

Wakirsto wa Tanzania wana roho mbaya sana pamoja na usomi wao wanaojitapia wamejaa serikalini lakini nchi bado masikini kazi kufanya ufisadi tu.
 
Fatilia Baraza la Mawaziri


Fatilia Makatibu wakuu


Fatilia maRPC


Utajua hii nchi ni ya Kanisa.

We acha mkuu,mi wanangu Saidi na Sauda huwa na wasisitiza wasome lakini wasiweke Sana matumaini ya ajira za serikalini,
Wasome waje kujiajiri au ajira sekta binafsi tu, au LA wawe wagalatia
 
Ile issue ya Dau NSSF imeanzisha mada nyingine kuhusu TANESCO!!!, kumbe aliyeileta ile mada aligonga Ikulu!!. Dawa ni utafutaji wa elimu kwa udi na uvumba, mambo ya dini sio ya kutumika kama uhalalishaji wa mtu au jamii fulani kushindwa kupambana maishani. Cha kushangaza ni kwamba wadhifa wa Chief Secretary haujawahi kushikwa na muislam tangu tupate uhuru, lakini sijawahi kusikia malalamiko. Waislam wawili wamekaa Ikulu kwa kipindi cha miaka 20 lakini CS ameendelea kuwa mkristo.

Tuachane na hizi mada nyepesi za udini. Matatizo yetu ni makubwa na mengi, tunahitaji kuzalisha watafiti wengi sana. Umeme unawafikia watanzania wasiozidi asilimia 50. Yapo mengi ya maana ambayo bado hayajafanyika, zipo fursa nyingi tu ambazo bado hazijatumika vizuri. Huu uislam na ukristo ni sababu tu ya kuhalalisha kutopiga hatua kwetu. Waungwana tubadilike, maendeleo ya dunia hii wala hayatusubiri.
Acha unafiki wewe Wakirsto wakijazana sehemu moja mnasema siyo udini wamesoma lakini Waislam hata wawili wakiwa sehemu mnasema udini.
 
Nasikitika sana kuwa mambo ya udini na ukabila yanapaliliwa sana na watu walioenda shule. Kama hali hii haitadhibitiwa itakuwa janga la Taifa huko mbeleni. Tulieenda shule tuwe mstari wa mbele kupinga mbegu zozote za ubaguzi katika ajira. Watu wapewe kazi kutokana na sifa na uwezo na si kwa kuwa anatoka dini fulani au kabila fulani.
 
Kundi la Wakirsto wakiwa sehemu moja uwa hamna sababu za udini wanasema ni wasomi lakini Waislam wakiwa watu sehemu moja tuambiwa ni udini daah!

Nimeona hizo orodha wamejaa wagalatia watupu utadhani ofisi za serikali ni vigango vya Kanisa.

Mods tunaomba tu huu uzi mutendee haki kama mlivyotea haki uzi wa NSSF na Dr.Dau na udini.
Ratio ya wakristo na waislamu wasomi ni ngapi?.... Labda tuanzie hapo kwanza
 
We nguruwe ina maana waislamu walioajiriwa NSSF hawana qualifications??? pimbi kweli wewe, hadi leo unakuja na zilezile sound kuwa waislam hawajasoma, umefanya utafiti ukajiridhisha kuwa hawapo wenye qualifications, acheni roho mbaya! ina maana kitendo tu cha kuwa mkristo ni lazima uwe na chuki dhidi ya waislamu? hili li dini lenu ndo maana linazidi kukimbiwa na waumini, halina maana yoyote duniani, naona mmeachiwa miafrika muhangaike nalo
wewe ni kafir!; mwislam ameagizwa akikasirika akachukue udhu..cc kahtan
 
Na mlivyokuwa mnamshupalia DAU kuwa NSSF kageuza msikiti,nyi wagalatia MNA roho mbaya Sana aisee,
Toka nizaliwe toka tumboni mwa mama yangu na kuwa mtu mzima sijawahi kumshambulia mtu au kumwazia vibaya kwa sababu ya dini au dhehebu lake, hata huyo Dau unaemzungumzia sijawahi kumzungumzia lolote.
Hivi wewe Nyemanze hufikiri ni kwanini ALLAH hafikiri kuhusu uwepo wa watu wa dini fulani mahali fulani kama kweli ni kosa Allah angekuwa ameshawaadhibu kwa kuwanyanyapaa watu wake. Wewe ni nani uhukumu tena kwa takwimu zako uchwara.
 
wewe ni kafir!; mwislam ameagizwa akikasirika akachukue udhu..cc kahtan

Yaan MTU amekupiga Kofi kwa mfano,unaacha nawewe kumpiga vitasa vya USO,eti ukachukue udhu,hamna uislam wa ivyo we mgalatia,,,,
 
Back
Top Bottom