Ningekua msemaji wa shirika ningefunguka ila naamini watakuja kuweka sawa
Lakini
Waislam wapo wengi tu hats mimi
Nimwislam mbona?
Kingine. Waislam wengi hatukusoma elimu dunia mapema tulisoma elimu ya ah Hera.
Mfano , sisi tulifanya interview watu 30 waislam tulikua wawili tu
Na tukaajiliwa 10 waislam 2 tu
Sasa hapo bado nikosa la mwajiri?
Mkuu umeiweka sawa.
Halafu kati ya hao wote aliooredhesha kuna ambaye labda hana qualifications zinazotakiwa kwa nafasi aliyo nayo ila kawekwa kwa upendeleo?!