PSI Factor
Member
- Apr 21, 2011
- 32
- 143
Wakuu nipo hapa Ubungo na mashine moja imelipuka ghafla umeme ukakata kote. Nahisi tutaambiwa nchi itaingia gizani rasmi
Bongo tambarare! IPTL, Symbion, Sijui na mazagazaga gani mengine lakini bado tu umeme ni wa shida!!!!! Mwaka wa 20 sasa! Halafu yule Kikwete anasema eti kukosekana umeme nchi ni kwa kudra za Mwenyezi Mungu!!!!
OyeeeeeeeeeeeeeeCCM Oyeeeeeeee
Bongo tambarare! IPTL, Symbion, Sijui na mazagazaga gani mengine lakini bado tu umeme ni wa shida!!!!! Mwaka wa 20 sasa! Halafu yule Kikwete anasema eti kukosekana umeme nchi ni kwa kudra za Mwenyezi Mungu!!!!