Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Status
Not open for further replies.
Daaah.. CHADEMA ni moto wa kuotea mbaya. These guyz are so smart indeed.

Kuna kitu tunaweza kujifunza hapa. Katika hivi vinchi vyetu vya kipuuzi ambavyo watawala wanahubiri hivi lakini wanatenda vile; wanahubiri demokrasia lakini wanatenda ufashisti; kuanzisha chama cha siasa unahitaji pia kuwekeza sana kwenye system bila hivyo sahau.

Nadhani kwa kipindi kirefu ambacho hawakujishughulisha sana "kukimbilia" Ikulu hawa Chadema waliamua kwanza kuwekeza kwenye system na ndiyo inayo payback hivi leo.

Siasa katika haya mataifa masikini inahitaji akili ya hali ya juu badala ya kutegemea hisani ya watawala unless mnataka kuwa wasindikizaji tu bila vision au mission yoyote. Sio utani Chadema wana vichwa! Duh!
 
wazalendo wameamua kukomboa nchi yao!ni kweli usalama wa Taifa umegawanyika.
 
Bungeni mbona unaandika vitu kw pressure?
muda ndo ushafika, kila kitu kinakuwa hadharani!

Nawashangaa magaidi kurukaruka Maana hizi mbwe mbwe kwenye Tamko haziondoi ukweli wa Yale yaliyopo kwenye video ya lwakatare. Marando angetuambia Yale anayoongea lwakatare Sio kweli Tamko lake lingekuwa na maana
 
Mzee Mwanakijiji , ulipendekeza kesi ifutwe naona ndio inaanza.
NIMEPENDA HAPO ALIPOSEMA JOPO LA MAWAKILI 6
 
Last edited by a moderator:
Sasa ndugu zangu wa CDM, mmeshaanika mchele kwenye kuku wengi mnatarajia mkute hizo kumbukumbu za mawasiliano ya hao jamaa zikiwasubiri? Hamjui ya kwamba fedha ni mwanaharamu?

Usijali mkuu is just a protocol to be followed. Nahisi umenielewa kuwa na amani The hague inawasubiri watu
 
Informer

Tunashukuru sana kwa newz hii yenye ubusara wa kutaka na kama si haki basi ni ukombozi wenye tija kwa wanainchi waliodidimizwa na mafisadi
Tunakushukuru sana Kamanda wetu Informer

Pamoja sana!

Mkuu bluetooth,

Nilichoweka ndicho CHADEMA walichosoma. Nimewaomba mods wazingatie ethics za uandishi, wanisaidie kuondoa # za simu
 
Last edited by a moderator:
Daaa hakika chadema wamefanya kazi kubwa kwenye hili.

Kuna kitu tunaweza kujifunza hapa. Katika hivi vinchi vyetu vya kipuuzi ambavyo watawala wanahubiri hivi lakini wanatenda vile; wanahubiri demokrasia lakini wanatenda ufashisti; kuanzisha chama cha siasa unahitaji pia kuwekeza sana kwenye system bila hivyo sahau.

Nadhani kwa kipindi kirefu ambacho hawakujishughulisha sana "kukimbilia" Ikulu hawa Chadema waliamua kwanza kuwekeza kwenye system na ndiyo inayo payback hivi leo.

Siasa katika haya mataifa masikini inahitaji akili ya hali ya juu badala ya kutegemea hisani ya watawala unless mnataka kuwa wasindikizaji tu bila vision au mission yoyote. Sio utani Chadema wana vichwa! Duh!
 
Details zilizowekwa kwenye hii taarifa bila kupepesa macho na kupindisha ulimi inaonyesha kuna watu wamefanya homework na kuna ushahidi wa hizi taarifa. Binafsi nikilinganisha na zile zilizotolewa na MWANAHALISI naona zinalingana ( kwa zilizotajwa kule). Nikifikiria na reaction ya serikali kulifungia mwanahalisi naziamini hizi taarifa. Swali langu ni HIVI KWELI SERIKALI YANGU UMEAMUA KUUWA RAIA WAKO WEWE MWENYEWE? KWELI? Mungu atajua cha kuwafanya wahusika wote hawa kama ni kweli.
 
Nitoeni haya mashaka niliyo nayo;

Je, mahakama haiwezi kukataa ombi la Chadema kutaka kutoa kibali cha makampuni ya simu kutoa taarifa za Namba hzo za simu?

Ikiwa mahakama itaridhia ombi la Chadema, je haya makampuni ya simu hayawezi kurubuniwa na kuchakachua hizo taarifa za namba za simu za hao wahusika 10?

Please naomba nijuzwe kuhusu hayo maswali yangu!
 
Viva CHADEMA,Haya chacha,ncheme nchicheme,niongeche nchiongeche,acha tu ntoke nduki nchunge kucha changu.,Mwee!!!Chemba lachima aingie nchituni la chivyo huyooooo anachungulia chegerea.:lock1:😛hoto::shetani::hungry::A S thumbs_down::shock:
 
Duh! Kizunguzungu,naihurumia sana chadema lakini Mungu awalinde zidi ya genge hili kubwa la wahuni kutoka ikulu.

Mkuu ingekua vizuri ikaihurumia taifa lako Tz maana njama zote hizi za kuangamiza chadema zina lengo la kuendelea juihujumu taifa kupitia wizi wa rasimali za taifa na kuendelea kuwafanya watanzania maskini wa kutupwa huku watu wachache wakiendelea kutajirijika، jambo ambalo mwisho wake huenda ikazua vita kali kati ya walionacho na waliochoka na tukufika huko siyo chadema itakua imekufa bali taifa la Tanzania ndiyo itakua imeangamia.
watanzania tuhurumie taifa letu kwa kuikataa hiki chama kinachozidi kututia umaskini badala ya kuihurumia chadema, chadema na ccm kama vyama vinaweza kufa akini tz kama taifa is there to stay.
 
kweli nimeamini mungu mkubwa,lile sakata la ulimboka limerudi tena,mwigulu ni zaidi ya shetani,kwanini ulishiriki kumtesa huyu daktari wa watu,damu yake na ya absalom kibanda zinakulilia.
 
Katafute piriton. Leo wallahi hupati usingz bila ya hivyo vidonge. CDM Haturembi mwandiko ila sms delivered and seen by magambaz

Asikupotezee muda mkuu, yuko kwa kazi maalumu, mbwa ukimjua jina akusumbui kabisa. Msg kumi zinaongozana zote anataka mumjibu apoteze maana ya uzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom