Chadema inaelekea kusambaratika. It's time tu
kwa staili hii, fikra zako zimekengeuka, tena vibaya mno. Wahusika wakuu wameelewa na wanajua viatu walivovaa vinavowabana kwa taarifa hii.
Hakuna muhusika mkuu yeyote aletajwa hapo juu, atayechukulia jambo hili kwa uzito uliochukulia wewe.
Ni suala la mda tu. Mtatafuta kwa kuficha sura zenu