TAMISEMI na tabia ya kukwamisha uhamisho wa Watumishi

Niwaheri

JF-Expert Member
May 2, 2020
1,767
2,763
Jamani mkwe wa samia emu fanya makeke kama uliyofanya kule utumishi,tamisemi wanazingua sana,imagine maombi ya uhamisho tena wa kubadilishana wamepokea toka juni sasa wanachakata nini mda wote huo?

Mmekaa ofisini mnazungusha matako hamjui shida zetu sio?
 
Jamani mkwe wa samia emu fanya makeke kama uliyofanya kule utumishi,tamisemi wanazingua sana,imagine maombi ya uhamisho tena wa kubadilishana wamepokea toka juni sasa wanachakata nini mda wote huo?

Mmekaa ofisini mnazungusha matako hamjui shida zetu sio?
Yaani we acha tu, kazi kuzungusha matako tu.....
 
Back
Top Bottom