Niwaheri
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,767
- 2,763
Jamani mkwe wa samia emu fanya makeke kama uliyofanya kule utumishi,tamisemi wanazingua sana,imagine maombi ya uhamisho tena wa kubadilishana wamepokea toka juni sasa wanachakata nini mda wote huo?
Mmekaa ofisini mnazungusha matako hamjui shida zetu sio?
Mmekaa ofisini mnazungusha matako hamjui shida zetu sio?