Serikali imeruhusu Uhamisho wa Watumishi lakini kuna Hamashauri zinakwamisha, Waziri anayehusika aingilie kati

DodomaTZ

Member
May 20, 2022
71
107
Kuna baadhi ya Halmashauri zinakwamisha juhudi za Serikali kwa makusudi ili ionekane Serikali haifanyi kazi.

Povu langu ni kuhusu mfumo wa uhamisho Serikalini, kubadilishana kwa Watumishi kumeruhusiwa tangu Septemba lakini mpaka leo Halmashauri haijatoa tamko na waliojisajili mamekosa approval kutoka kwa Maafisa Utumishi.

Tunaomba msaada kutoka kwa Waziri husika anayesimamia, nipo Iringa DC Iringa, kwani licha ya kuwa walisema kunahama kwa sasa ni kwa njia ya mtandao lakini hakuna elimu wala utekelezaji halisi wa kile kilichoelezwa na TAMISEMI, hivi karibuni.

Pia Soma: TAMISEMI: Hatutapokea barua ya maombi ya uhamisho, watumishi waombe kwa njia ya Mtandao
 
Kuna baadhi ya Halmashauri zinakwamisha juhudi za Serikali kwa makusudi ili ionekane Serikali haifanyi kazi.

Povu langu ni kuhusu mfumo wa uhamisho Serikalini, kubadilishana kwa Watumishi kumeruhusiwa tangu Septemba lakini mpaka leo Halmashauri haijatoa tamko na waliojisajili mamekosa approval kutoka kwa Maafisa Utumishi.

Tunaomba msaada kutoka kwa Waziri husika anayesimamia, nipo Iringa DC Iringa, kwani licha ya kuwa walisema kunahama kwa sasa ni kwa njia ya mtandao lakini hakuna elimu wala utekelezaji halisi wa kile kilichoelezwa na TAMISEMI, hivi karibuni.

Pia Soma: TAMISEMI: Hatutapokea barua ya maombi ya uhamisho, watumishi waombe kwa njia ya Mtandao
Kuna mgomo aridi.

Semina walienda DHROs/Wakkuu wa idara ya Utumishi.

Wanaofanya kazi ni Maafisa Utumishi, kwahiyo wanajifanya hawaelei kitu.
 
Kuna baadhi ya Halmashauri zinakwamisha juhudi za Serikali kwa makusudi ili ionekane Serikali haifanyi kazi.

Povu langu ni kuhusu mfumo wa uhamisho Serikalini, kubadilishana kwa Watumishi kumeruhusiwa tangu Septemba lakini mpaka leo Halmashauri haijatoa tamko na waliojisajili mamekosa approval kutoka kwa Maafisa Utumishi.

Tunaomba msaada kutoka kwa Waziri husika anayesimamia, nipo Iringa DC Iringa, kwani licha ya kuwa walisema kunahama kwa sasa ni kwa njia ya mtandao lakini hakuna elimu wala utekelezaji halisi wa kile kilichoelezwa na TAMISEMI, hivi karibuni.

Pia Soma: TAMISEMI: Hatutapokea barua ya maombi ya uhamisho, watumishi waombe kwa njia ya Mtandao
Watumishi wa umma mnateseka shauli ya CCM.....Uhamisho ni haki ya mtumishi.

Chaguzi zijazo (wa mwaka 2024 na 2025) tendeni haki, msiisaidie CCM kuiba kura.
 
Watumishi wa umma mnateseka shauli ya CCM.....Uhamisho ni haki ya mtumishi.

Chaguzi zijazo (wa mwaka 2024 na 2025) tendeni haki, msiisaidie CCM kuiba kura.
Mfumo wa uchaguzi ndio mbovu, msipolijua hilo mtlaumu kila mtu.

DED ndio msimamizi wa uchaguzi na ndiye anayetangaza matokeo.

DED ndio MWAJIRI wa Mwalimu.

Kwa akili yako unategemea mWALIMU AKATAE MAAGIZO MYA ded/mWAJIRI WAKE.
 
Kuna baadhi ya Halmashauri zinakwamisha juhudi za Serikali kwa makusudi ili ionekane Serikali haifanyi kazi.

Povu langu ni kuhusu mfumo wa uhamisho Serikalini, kubadilishana kwa Watumishi kumeruhusiwa tangu Septemba lakini mpaka leo Halmashauri haijatoa tamko na waliojisajili mamekosa approval kutoka kwa Maafisa Utumishi.

Tunaomba msaada kutoka kwa Waziri husika anayesimamia, nipo Iringa DC Iringa, kwani licha ya kuwa walisema kunahama kwa sasa ni kwa njia ya mtandao lakini hakuna elimu wala utekelezaji halisi wa kile kilichoelezwa na TAMISEMI, hivi karibuni.

Pia Soma: TAMISEMI: Hatutapokea barua ya maombi ya uhamisho, watumishi waombe kwa njia ya Mtandao
Taja hiyo halmashauri maana zipo 183 tutashindwa kukusaidia
 
Mfumo wa uchaguzi ndio mbovu, msipolijua hilo mtlaumu kila mtu.

DED ndio msimamizi wa uchaguzi na ndiye anayetangaza matokeo.

DED ndio MWAJIRI wa Mwalimu.

Kwa akili yako unategemea mWALIMU AKATAE MAAGIZO MYA ded/mWAJIRI WAKE.
Watumishi wa umma wakiamua huo upumbavu wa kuiba kura kwa ajili ya CCM unakoma mara moja....wakiamua na kushirikiana na wananchi 'nguvu ya umma' hakuna cha DED wala DC kuzuia.
 
Wakiamuaje?

Kwamba watumishi wa umma ni wengi kuliko wananchi mpakja wao ndio waamue.

Waamue nini sasa?
Uchafuzi wa uchaguzi kama wizi wa kura, kuengua wagombea wa upinzani na kuwapitisha wagombea wa CCM hufanikishwa na watumishi wa umma (walimu, watendaji wa vijiji, watendaji wa kata, nakadhalika) ambao ndio huwa wasimamizi wa vituo vya kupigia kura, wasimamizi wa ngazi za vijiji, kata na halmashauri kunakojumlishiwa matokeo ya vituo vya kupigia kura.
.
.
.
Mpaka hapo hujaiona nguvu ya watumishi wa umma!?! ambapo wakiamua huo upumbavu ukome, unakoma mara moja.
 
Uchafuzi wa uchaguzi kama wizi wa kura, kuengua wagombea wa upinzani na kuwapitisha wagombea wa CCM hufanikishwa na watumishi wa umma (walimu, watendaji wa vijiji, watendaji wa kata, nakadhalika) ambao ndio huwa wasimamizi wa vituo vya kupigia kura, wasimamizi wa ngazi za vijiji, kata na halmashauri kunakojumlishiwa matokeo ya vituo vya kupigia kura.
.
.
.
Mpaka hapo hujaiona nguvu ya watumishi wa umma!?! ambapo wakiamua huo upumbavu ukome, unakoma mara moja.
Umma mmeshindwa kufanya chochote, Mwalimu mmoja anayesimamia uchaguzi kwenye Kituo ndio unataka afanye mabadiliko siyo???
 
Mfumo wa uchaguzi ndio mbovu, msipolijua hilo mtlaumu kila mtu.

DED ndio msimamizi wa uchaguzi na ndiye anayetangaza matokeo.

DED ndio MWAJIRI wa Mwalimu.

Kwa akili yako unategemea mWALIMU AKATAE MAAGIZO MYA ded/mWAJIRI WAKE.
Kwani mwalimu amekuwa tume ya uchaguzi yenye uamuzi wa kusema nani wamtangaze mshindi? Embu mnaposhindw akwenye kutafuta kula msitafute vichaka vya kujifichia. Mwalimu hana uwezo wowote w akukufanya wewe ushinde uchaguzi kwasababu yeye sio tume ya uchaguzi. Mnamjua muhusika ni tume lkn mmekalia kusingizia walimu. Oneni aibu.
 
Uchafuzi wa uchaguzi kama wizi wa kura, kuengua wagombea wa upinzani na kuwapitisha wagombea wa CCM hufanikishwa na watumishi wa umma (walimu, watendaji wa vijiji, watendaji wa kata, nakadhalika) ambao ndio huwa wasimamizi wa vituo vya kupigia kura, wasimamizi wa ngazi za vijiji, kata na halmashauri kunakojumlishiwa matokeo ya vituo vya kupigia kura.
.
.
.
Mpaka hapo hujaiona nguvu ya watumishi wa umma!?! ambapo wakiamua huo upumbavu ukome, unakoma mara moja.
Walimu unawasingizia bure tu kwasababu wao hawana uwezo wa kukufanya wewe ushinde, wenye uwezo huo ni tume ya uchaguzi.
 
Kuhama ni haki ya kila mfanyakazi
Lakin kunanili suala la wafanyakazi kuchagua sehemu za kufanyia kaz
Kuna halmashauri na vijiji mazingira sio mazuri kawa wakiruhusu wafanyakaz kuhama itaathili sana maendeo ya sehemu husika
 
Back
Top Bottom