Serikali imepitisha Uhamisho wa online lakini Watumishi wengi hatujui kuitumia hiyo mifumo

Nyakijooga

Senior Member
Dec 9, 2018
123
202
Malalamiko yangu ni kuhusu uhamisho kwa Watumishi wa Umma, kuna baadhi ya mikoa mfano Mkoa wa Kilimanjaro na Lindi viongozi wetu wanakataa kupokea barua za Watumishi wanaotaka kuhama kwa kusingizia kuwa uhamisho unafanyika kwenye mfumo wa online lakini kiuhalisia hawajui kuutumia.

Hivi karibuni Serikali kupitia TAMISEMI walitutangazia sisi watumishi wa Serikali kuwa maombi yetu ya uhamisho yatakuwa yanafanyika kwa njia ya online lakini inavyoonekana ama mfumo bado haujaanza kufanya kazi rasmi au hakuna elimu iliyotolewa jinsi ya kuutumia na wengi wetu hatujui hata huo mfumo tunautumiaje.

TAMISEMI hawasemi chochote, tukipeleka barua za kawaida viongozi wetu wanakataa kuzipokea wakidai tuombe kupitia mfumo, tukiingia huko tukiwasiliana nao wanapiga chenga kumbe hawajui kuutumia.

Changamoto hii ipo kwa Watumishi wa kawaida hadi wale wa juu mfano Maafisa Elimu, Wakuu wa Shule, Afisa Utumishi wengi wao hawajui jinsi ya kuitumia.
 
Malalamiko yangu ni kuhusu uhamisho kwa Watumishi wa Umma, kuna baadhi ya mikoa mfano Mkoa wa Kilimanjaro na Lindi viongozi wetu wanakataa kupokea barua za Watumishi wanaotaka kuhama kwa kusingizia kuwa uhamisho unafanyika kwenye mfumo wa online lakini kiuhalisia hawajui kuutumia.

Hivi karibuni Serikali kupitia TAMISEMI walitutangazia sisi watumishi wa Serikali kuwa maombi yetu ya uhamisho yatakuwa yanafanyika kwa njia ya online lakini inavyoonekana ama mfumo bado haujaanza kufanya kazi rasmi au hakuna elimu iliyotolewa jinsi ya kuutumia na wengi wetu hatujui hata huo mfumo tunautumiaje.

TAMISEMI hawasemi chochote, tukipeleka barua za kawaida viongozi wetu wanakataa kuzipokea wakidai tuombe kupitia mfumo, tukiingia huko tukiwasiliana nao wanapiga chenga kumbe hawajui kuutumia.

Changamoto hii ipo kwa Watumishi wa kawaida hadi wale wa juu mfano Maafisa Elimu, Wakuu wa Shule, Afisa Utumishi wengi wao hawajui jinsi ya kuitumia.
Muende semina!
 
Malalamiko yangu ni kuhusu uhamisho kwa Watumishi wa Umma, kuna baadhi ya mikoa mfano Mkoa wa Kilimanjaro na Lindi viongozi wetu wanakataa kupokea barua za Watumishi wanaotaka kuhama kwa kusingizia kuwa uhamisho unafanyika kwenye mfumo wa online lakini kiuhalisia hawajui kuutumia.

Hivi karibuni Serikali kupitia TAMISEMI walitutangazia sisi watumishi wa Serikali kuwa maombi yetu ya uhamisho yatakuwa yanafanyika kwa njia ya online lakini inavyoonekana ama mfumo bado haujaanza kufanya kazi rasmi au hakuna elimu iliyotolewa jinsi ya kuutumia na wengi wetu hatujui hata huo mfumo tunautumiaje.

TAMISEMI hawasemi chochote, tukipeleka barua za kawaida viongozi wetu wanakataa kuzipokea wakidai tuombe kupitia mfumo, tukiingia huko tukiwasiliana nao wanapiga chenga kumbe hawajui kuutumia.

Changamoto hii ipo kwa Watumishi wa kawaida hadi wale wa juu mfano Maafisa Elimu, Wakuu wa Shule, Afisa Utumishi wengi wao hawajui jinsi ya kuitumia.
Je,natulioomba kuhama kabla ya huo mfumo wa online inakuwaje,tuombe upya tena,tulioandika barua tangia mwezi wa tatu mwaka huu za kuomba uhamisho na zilishapokelewa ila majibu bado au ndo watadai tuombe upya tena
 
Unapata changamoto gani hasa kwenye ESS tukusaidie?
Kuna watumishi ambao akisha jisajili, na mfumo ukamwambia "Your application has been successful saved", Cha ajabu taarifa zake hazionekani kwenye mfumo. Kwa mfano, mnataka mbadilishane vituo Vya kufanyia Kazi, unakuta yule unayetaka Kubadilishana naye haoni taarifa zako kwenye mfumo ilihali umekwisha jisajili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watumishi ambao akisha jisajili, na mfumo ukamwambia "Your application has been successful saved", Cha ajabu taarifa zake hazionekani kwenye mfumo. Kwa mfano, mnataka mbadilishane vituo Vya kufanyia Kazi, unakuta yule unayetaka Kubadilishana naye haoni taarifa zako kwenye mfumo ilihali umekwisha jisajili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu weka link ya huo mfumo hapa
 
Wameanzisha mfumo ila wahusika wa kuutumia huo mfumo hawajaenda semina elekezi,nadhani ni mbinu mpya ya kuzuia uhamisho.
Acheni uvivu wa kujifunza kitu kipya kwa juhudi binafsi,sema asilimia kubwa ya watumishi wa umma ni mizigo tu na wanaingia Kwa connection ila uwezo kuanzia uelewa wa dunia inakokwenda,uwezo wa kazi na hata elimu ni mdogo sana
 
Malalamiko yangu ni kuhusu uhamisho kwa Watumishi wa Umma, kuna baadhi ya mikoa mfano Mkoa wa Kilimanjaro na Lindi viongozi wetu wanakataa kupokea barua za Watumishi wanaotaka kuhama kwa kusingizia kuwa uhamisho unafanyika kwenye mfumo wa online lakini kiuhalisia hawajui kuutumia.

Hivi karibuni Serikali kupitia TAMISEMI walitutangazia sisi watumishi wa Serikali kuwa maombi yetu ya uhamisho yatakuwa yanafanyika kwa njia ya online lakini inavyoonekana ama mfumo bado haujaanza kufanya kazi rasmi au hakuna elimu iliyotolewa jinsi ya kuutumia na wengi wetu hatujui hata huo mfumo tunautumiaje.

TAMISEMI hawasemi chochote, tukipeleka barua za kawaida viongozi wetu wanakataa kuzipokea wakidai tuombe kupitia mfumo, tukiingia huko tukiwasiliana nao wanapiga chenga kumbe hawajui kuutumia.

Changamoto hii ipo kwa Watumishi wa kawaida hadi wale wa juu mfano Maafisa Elimu, Wakuu wa Shule, Afisa Utumishi wengi wao hawajui jinsi ya kuitumia.
Hii ndiyoTanzania ndugu.
 
Huu mfumo bado hauko sawa,hata kujisajili tu ni mziku una error nyingi ambazo hazieleweki
 
Back
Top Bottom