CtVKiLaZA
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 301
- 37
Katika hali isiyo ya kawaida leo asubuhi nimefika Ofisini kwangu. Si unajua tena mambo ya kujiajiri. Nina ka salon kangu na mtaani kuna salon mbili nyingine. Lakini kufika mlangoni nikakuta kuna kichwa cha kuku, kitamba chekundu na damu. Pembeni kidogo nikaona kuna shimo limechibwa ndani kukiwa na kuku mweupe. Mi sio mtu ya kuamini Mambo ya kishirikina. Nimefanya usafi na kuendelea na biashara yangu.
Lakini kwa nini tunafanyiana hivi. Tunarudisha nyuma.
Lakini kwa nini tunafanyiana hivi. Tunarudisha nyuma.