Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Ukiona hivyo jua umeshawapiga bao!nimeshangaa tu. Kumbe kuna watu wanaumiza kichwa juu yangu
Usijali upuuzi wao piga maombi,pika kazi,
Ipo siku watatafutana uchawi wao na waganga wao wakikuona unazidi kufanikiwa!